cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Yupoo, na hata mwanaume was pekee yako yupooo.View attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako





Yupoo, na hata mwanaume was pekee yako yupooo.View attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako





Utakubal kucheza baikoko na mm kitandan,,ukikubal ntaleta mm tena na migebhuka






hadi nimepaliwa kwa kuchekaaa. KhaaahAtakuita mzee wa mchongoLabda hofu yangu, maana nyumba zimeshonana balaa.
Shukrani kwa Ukaribisho, hapa namsaka Wigelekelo anioneshe Viwanja, hata Wazee hupenda kula good time siku moja moja 🏃🏃
🤣🤣🤣Aunt unatak nifeMbna wachache sanaaa, fanya uongezee ongezee
![]()
Mkuu umewafata wahuni wa Tunduma.Labda hofu yangu, maana nyumba zimeshonana balaa.
Shukrani kwa Ukaribisho, hapa namsaka Wigelekelo anioneshe Viwanja, hata Wazee hupenda kula good time siku moja moja![]()
Unakufajee kwa mfanooo,Aunt unatak nife








ila akili zangu sijui zilikuajee.🤣🤣🤣Aliekuroga wew kafaUnakufajee kwa mfanooo,
Mie wakati naanza kujua kujunjana, kila nikifikiria kifo nalia wee hiyo yote nawaza kukosa mnyanduanooo.
Baada ya kupigwa tukio, ndo akili ikajifanyia restore factor settings,
ila akili zangu sijui zilikuajee.
Lolnimechekaaa sanaaa, woiiiiih
Mimi sitafuti nakaa kwa kutulia aje 😂😂😂Ndo wee utafute sasa mie niwe MC, watu wale ubwabwa.
![]()
Wa Dunia ya wapi Hao hakuna wa hivo dear 😀😀Yeah someone to care for you, akuambie jinsi anavyokupenda .
Anavyotaka mzeeke pamoja .
Awwwh this is so sweet jamani , love is a beautiful thing ever .
Wapo aiseeWa Dunia ya wapi Hao hakuna wa hivo dear 😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂AiseeAsante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .
Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi 😂😂😂
Cocah njoo uchukue Cuzo Ako😂😂😂Utakubal kucheza baikoko na mm kitandan,,ukikubal ntaleta mm tena na migebhuka
Hakuna wa hivo dear ukipata hayo mawili ujue mengine kumi Hana kabisa ukipata angalau nusu ya unayoyatak bas toa sadaka 😂Wapo aisee
Watu wote hawa duniani jamani
Sema kumpata ndo kipengele
Wapo aisee
Watu wote hawa duniani jamani
Sema kumpata ndo kipengele
🙈🙈🙈Khaa 😂😂😂😂
Eti mbibi 🤣🤣
Mbona kazuri
Tena uzuri ni kafupi,ila kangekuwa karefu hapo sawa.
Khaa😂😂😂😂😂Lile ua ndo linakyfanya uonekane mbibi achana nalo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lile ua ndo linakyfanya uonekane mbibi achana nalo
Nilikuwa na safari ya kwenda kariakoo ikaisha pale pale .😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee