Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunt unatak nife
Unakufajee kwa mfanooo,

Mie wakati naanza kujua kujunjana, kila nikifikiria kifo nalia wee hiyo yote nawaza kukosa mnyanduanooo.

Baada ya kupigwa tukio, ndo akili ikajifanyia restore factor settings,
ila akili zangu sijui zilikuajee.
 
Unakufajee kwa mfanooo,

Mie wakati naanza kujua kujunjana, kila nikifikiria kifo nalia wee hiyo yote nawaza kukosa mnyanduanooo.

Baada ya kupigwa tukio, ndo akili ikajifanyia restore factor settings,
ila akili zangu sijui zilikuajee.
🤣🤣🤣Aliekuroga wew kafa
 
Asante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .

Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee
 
Wapo aisee
Watu wote hawa duniani jamani
Sema kumpata ndo kipengele
Hakuna wa hivo dear ukipata hayo mawili ujue mengine kumi Hana kabisa ukipata angalau nusu ya unayoyatak bas toa sadaka 😂
 
Back
Top Bottom