Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahaha baba wawiliHiyo saa sasa itakuletea
Shauri yako🤣🤣
Ongeza sekunde zifike 30
Hahaha baba wawiliHiyo saa sasa itakuletea
Shauri yako🤣🤣
Nimeweka hiyo inakaa masaa matatu😁Hahaha baba wawili
Ongeza sekunde zifike 30
Ni ngumu kudanganya mtu unayempenda . mfano unapata kila kitu kwa guy wako , unaenda nje kutafuta nn
Ndio hapo SASA. Unaanzaje Kwa mfano....Ni ngumu kudanganya mtu unayempenda . mfano unapata kila kitu kwa guy wako , unaenda nje kutafuta nn
Matatu which 😂😂😂Nimeweka hiyo inakaa masaa matatu😁
Sema kuna ile kuchokana ndo huko baadae lakini hakuna kinachoshindikana kurudisha mahaba kati yenu
Unajikuta unamcheat Ila ukikumbuka unajikuta Una Lia.Sema kuna ile kuchokana ndo huko baadae lakini hakuna kinachoshindikana kurudisha mahaba kati yenu
Wazee hatuna mambo mengi 🤪
Hakuna kitu kibaya kama majuto
Utakubal kucheza baikoko na mm kitandan,,ukikubal ntaleta mm tena na migebhukaAu kama vipi uniletee tu mwenyewe 😂
Matatu how??🤣🤣🤣🤣Matatu which 😂😂😂
Leo hata sijaview tayari imefutika .Matatu how??🤣🤣🤣🤣
Pole sanaLeo hata sijaview tayari imefutika .
Haya boss 😂😂Pole sana
Sijui ulikimbia wapi
Imekaa sana
Na hautajaa mkuu
Labda hofu yangu, maana nyumba zimeshonana balaa.Na hautajaa mkuu
Karibu Tunduma
Asante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .
Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi![]()





nimechekaaa sanaaa, woiiiiihTunakulaa ujanaaa,
Kweli kabisaa. Umri ukiwa umeenda Kama huu wetu Yani mwezi unapita bila bila. Normal kabisaaa.
Vijana wakina cocastic tumieni ujana vyedi
Sent using Jamii Forums mobile app





Ndo wee utafute sasa mie niwe MC, watu wale ubwabwa.Yeah someone to care for you, akuambie jinsi anavyokupenda .
Anavyotaka mzeeke pamoja .
Awwwh this is so sweet jamani , love is a beautiful thing ever .



