Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,149
- 43,098
Hiyo ni nadharia yenye uhalisia kabisaaaAlafu Mbona Mimi sijawahi kuwaza hayo ninawaza vitu tofaut kabisa kwenye maisha
Hiyo ni nadharia yenye uhalisia kabisaaaAlafu Mbona Mimi sijawahi kuwaza hayo ninawaza vitu tofaut kabisa kwenye maisha
Asante chizi mwenzagu 🙏🤣😂Akili zako mbili kasoro wewe!!
🤣🤣🤣🤣🤣 Vitu gani hivyo? Pesa?Alafu Mbona Mimi sijawahi kuwaza hayo ninawaza vitu tofaut kabisa kwenye maisha
Yaani baby Aaliyyah una Akili😍😍😍😍,Alafu Mbona Mimi sijawahi kuwaza hayo ninawaza vitu tofaut kabisa kwenye maisha
Dogo una umwa kicha🙄😂😂😂, blood damn kunguniAh mie namtaka Aaliyyah mtoto mrembo mpole mwenye kujua mume anataka nini. Sema sasa naye ndio kashupaza kichwa kwa ex wake
Hongera dear na poleHapana tena nilivo na bahati za mtende sasa kwakweli hili namshukuru mungu 🕺🤸 !!
Basi tu sema maisha yana mamboo mengi sana mdogo wangu!!
Sasa ukunguni umetokea wapiDogo una umwa kicha🙄😂😂😂, blood damn kunguni
Leave ma girl Aaliyyah alone🙄😂🤣, kabla sija waita walinzi wakupasue😂Sasa ukunguni umetokea wapi
Asante dear hio ya Chini kwakweli nastahili double polee ila always Mungu amekua mwema sana Kwangu nyieeee kuna mambo yasikie tu kwa jirani!Hongera dear na pole
Aisee wanaume ni WA kuwaogopa sanaKwakweli hio ya Chini kwakweli nastahili double polee ila always Mungu amekua mwema sana Kwangu nyieeee kuna mambo yasikie tu kwa jirani!
Kuna kipindi all Manny of ma niggas walikuwa kwenye mahusiano, Sasa mi Nilikuwa bize na ishu nyingine.😀Dunia hii Ina mambomengi Yani mtu usipoyashupalia mapenz watu wanakuona wa ajabu sana 😂
Shekpe🤣😂😂Aisee wanaume ni WA kuwaogopa sana
Mara nyingi tunapendwasana ila tunaowapenda sisi ndo vichomi 😀
Mie Jambo langu ni tofauti kabisa haliko kwenye Mapenzi wala wanaume.....!!Aisee wanaume ni WA kuwaogopa sana
Mara nyingi tunapendwasana ila tunaowapenda sisi ndo vichomi 😀
Hapana tena nilivo na bahati za mtende sasa kwakweli hili namshukuru mungu!!
Basi tu sema maisha yana mamboo mengi sana mdogo wangu!!
Mie mmama shika adabu yako Kijana!!Selfika acha Maneno mengi ww binti
Utakuwa unawaza Hela Kam mm 😂😂😂Mie Jambo langu ni tofauti kabisa haliko kwenye Mapenzi wala wanaume.....!!
Mapenzi matramu ukipata Mpenzi rafikii mbona utaenjoy!!