Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
Kasi ya ujenzi ni kubwa sana hapa Dar ukipita maeneo kama Mbweni, Salasala, Madale, Mivumoni na Goba utafikiri kuna mashindano ya kujenga. Na nyumba zinazojengwa nyingi ni za kisasa modern kabisa
Na wanaume huwa hatuambiani usiku mwema au good night huo ni ukikeKweli bro hata kumuambia mwana 'asante' naona atanichukulia pushover, nasemaga tu 'poa bro'😂
Ahaaa unanimaliza kabisa😊
SafiNa picha!
Urafiki wa wanaume sio wa kinafiki. Hata tukizinguana muda mfupi tu tunayaweka sawa maisha yanaendeleaNyie ni ukauzu tu kwenda mbele
Sema mna urafiki mzuri sana
Daaah! Wewee ngoja tu nitampata mtaalamu wa kuondoa hivyo viua vyenu.
Mjuba leo umekumbuka Church 😅View attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako
🤣🤣🤣 mwanamke akivaa kinjunga ni mitegoMie kinachouzi home, siruhusiwi kuva kinjunga, naishia kuvaa tracksuit tyuuh. Nikivaa kinjunga bas siku hiyo mshua hayupo.
.
Ndo hivyo mnatutesa wanaume na vinjunga au zile taiti na vile wengi hawavai na chupi ndani hatari tupu ile mitetemowee nani kasemaa??
Kabisa aisee huku usnitch mwingi sana .Urafiki wa wanaume sio wa kinafiki. Hata tukizinguana muda mfupi tu tunayaweka sawa maisha yanaendelea
Wanawake wanaweza kujifanya wanapendana lakini wakipeana migongo tu kila mtu anamsema mwenzake. Na mkigombana kupatana ni nadra ni vinyongo na kununiana
Lakini ndivyo mlivyo toka zamani si unakumbuka simulizi la Hana na Penina au malkia Esta na Vashti kwa Bible
😅😅😅😅😅😅😅Dah😂😂😂😂😂😂😂
Mambo ya shemegi haya
Anasema vaa tujue moja
Kama fupi livuke magoti
Kama refu liguse mguu.
Siyo unavaa kama bibi.
Wakati mm nikiwa chini ya goti tayari ni fupi.
Yale nimenunua kipindi kile sijawahi vaa😂
Mafupi hatari.
😘😘nogaa sanaa mwenyejiii
Limeng'ang'ania!!!!!!😳😳Toa ua mara moja chap
,😂😂😂😂Hata sielewi mnazungumzia nn
I wish I could be IGPLimeng'ang'ania!!!!!!😳😳