Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie ni ukauzu tu kwenda mbele
Sema mna urafiki mzuri sana
Urafiki wa wanaume sio wa kinafiki. Hata tukizinguana muda mfupi tu tunayaweka sawa maisha yanaendelea

Wanawake wanaweza kujifanya wanapendana lakini wakipeana migongo tu kila mtu anamsema mwenzake. Na mkigombana kupatana ni nadra ni vinyongo na kununiana

Lakini ndivyo mlivyo toka zamani si unakumbuka simulizi la Hana na Penina au malkia Esta na Vashti kwa Bible
 
Urafiki wa wanaume sio wa kinafiki. Hata tukizinguana muda mfupi tu tunayaweka sawa maisha yanaendelea

Wanawake wanaweza kujifanya wanapendana lakini wakipeana migongo tu kila mtu anamsema mwenzake. Na mkigombana kupatana ni nadra ni vinyongo na kununiana

Lakini ndivyo mlivyo toka zamani si unakumbuka simulizi la Hana na Penina au malkia Esta na Vashti kwa Bible
Kabisa aisee huku usnitch mwingi sana .
Kidogo tu maneno , mara kununa bila sababu ya msingi .
 
Dah😂😂😂😂😂😂😂
Mambo ya shemegi haya

Anasema vaa tujue moja
Kama fupi livuke magoti
Kama refu liguse mguu.

Siyo unavaa kama bibi.


Wakati mm nikiwa chini ya goti tayari ni fupi.

Yale nimenunua kipindi kile sijawahi vaa😂
Mafupi hatari.
😅😅😅😅😅😅😅

Yuko sahihi kabisa, ambazo ni medium binafsi huwa zinanikosesha raha kimtindo maana nakua sijielewi elewi.

Vaa hata nyumbani uzoee basi!!!!!!
 
Back
Top Bottom