Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,008
- 45,722
Hata humu Huwa naandika sana kwenye jukwaa la MMU lakini wewe hata huwa hautembelei majukwaa mengine.Asante sana
Hata humu Huwa naandika sana kwenye jukwaa la MMU lakini wewe hata huwa hautembelei majukwaa mengine.Asante sana
dharau hizi😂Hauwezi kuelewa labda mpaka kuanzia 2025 huko
Nampa dawa Miss Tinsley, Dogo tulia kwanza Kuna mambo mengine kwako ni magumu 😂😂😂dharau hizi😂
Kwingine huko hadi nijisikieHata humu Huwa naandika sana kwenye jukwaa la MMU lakini wewe hata huwa hautembelei majukwaa mengine.
Tatizo lako Wewe unapenda kusikia, kupokeq Habari unazozipenda wewe tu. Na ndio maana unajikuta unashuka sana Moyo. Elewa kwenye mabaya ndio kwenye mazuri.Kwingine huko hadi nijisikie
Naona shida , watu wana majibu huko, ..
Kama MMU , thread nyingi ni za kuponda ke , mara hili mara lile .
Full of toxic
itabidi utoke out uanze kwenda kwenye dates....Ni nzuri sana aisee
Hahaaa ni kucheza humo ndani full of vibe .
Sitaki aisee , mule wamezidi duh .Tatizo lako Wewe unapenda kusikia, kupokeq Habari unazozipenda wewe tu. Na ndio maana unajikuta unashuka sana Moyo. Elewa kwenye mabaya ndio kwenye mazuri.
Dates ziko wapi 😂😂😂itabidi utoke out uanze kwenda kwenye dates....
Makuzi yako ya Utotoni ulidekezwa sana 😂😂😂😂Sitaki aisee , mule wamezidi duh .
Nalinda my mental well being , so it's important for me kusoma vitu positive tu .
Yani mie hata ukiniambia cha kutisha sitaki .
I need to protect myself .
Ndio maana Nika react kwa masikitiko. Huyo hawezi even to cure your heartDates ziko wapi 😂😂😂
Labda self dates
ah weee....Dates ziko wapi 😂😂😂
Labda self dates
Hahahaha sio mbayaNdio maana Nika react kwa masikitiko. Huyo hawezi even to cure your heart
Huyu Miss ni Broken heart 💔ah weee....
unataka kuniambia hamna watu wanatuma maombi??
Watoke wapi 😂😂😂ah weee....
unataka kuniambia hamna watu wanatuma maombi??
Hapana you're wrongHuyu Miss ni Broken heart 💔
Hata kama ataenda date bado yule aliyemtoa date ataishia kuboeka tu.
Jikubali bhana hata kama una muonekano kama wa Whoopi Goldberg. ( Mwalimu wa Sarafina)🤣🤣🤣Watoke wapi 😂😂😂
Hahhahah sitaki bhana usije sema im picky sijui nini .
hamna unatoka tu kwenye comfort zoneusije sema im picky
Unajichanganya mwenyewe 🤣🤣🤣Hapana you're wrong
Im not boring during dates , ni mimi kuamua tu niwe na mood gani 😂😂.