Mie kinachouzi home, siruhusiwi kuva kinjunga, naishia kuvaa tracksuit tyuuh. Nikivaa kinjunga bas siku hiyo mshua hayupo.Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ya shemegi haya
Anasema vaa tujue moja
Kama fupi livuke magoti
Kama refu liguse mguu.
Siyo unavaa kama bibi.
Wakati mm nikiwa chini ya goti tayari ni fupi.
Yale nimenunua kipindi kile sijawahi vaa[emoji23]
Mafupi hatari.
[emoji8][emoji8][emoji8] nogaa sanaa mwenyejiii
Mtandaoni hakuna anayetumia PC mbovu 😂😂😂Nime appreciate PC tu, coz nakunywa maji tu🤣😂
PolesanaHahahaa niliogopa aisee kidole cha mwisho kikapinda uwii
Wakajaa wakaka kuniambia nikirudishe uwii nikasema Yesu
Kikarudi sehemu yake
Toa ua mara moja chap
Na wew Ni mtaji wa CCM , [emoji706]Na picha!
Kasi ya ujenzi ni kubwa sana hapa Dar ukipita maeneo kama Mbweni, Salasala, Madale, Mivumoni na Goba utafikiri kuna mashindano ya kujenga. Na nyumba zinazojengwa nyingi ni za kisasa modern kabisa
Na wanaume huwa hatuambiani usiku mwema au good night huo ni ukikeKweli bro hata kumuambia mwana 'asante' naona atanichukulia pushover, nasemaga tu 'poa bro'😂
Ahaaa unanimaliza kabisa😊
SafiNa picha!
Urafiki wa wanaume sio wa kinafiki. Hata tukizinguana muda mfupi tu tunayaweka sawa maisha yanaendeleaNyie ni ukauzu tu kwenda mbele
Sema mna urafiki mzuri sana
Daaah! Wewee ngoja tu nitampata mtaalamu wa kuondoa hivyo viua vyenu.
Mjuba leo umekumbuka Church 😅View attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako
🤣🤣🤣 mwanamke akivaa kinjunga ni mitegoMie kinachouzi home, siruhusiwi kuva kinjunga, naishia kuvaa tracksuit tyuuh. Nikivaa kinjunga bas siku hiyo mshua hayupo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nani kasemaa??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanamke akivaa kinjunga ni mitego