mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
Wewe ndo unaanza maisha lazima uitwe dogo😂Shukrani mkuu, Afu mi sio dogo😂🤣.
Wewe ndo unaanza maisha lazima uitwe dogo😂Shukrani mkuu, Afu mi sio dogo😂🤣.




ndo nimechekaa sanaaa, woiiiiih.Dah imebidi nisimame nicheke😂🤣, 👉Ni kweli mkuu Sasa hivi nimebaki na shift 1 ya kazi, sijui wameona nafaidi😑😐Wewe ndo unaanza maisha lazima uitwe dogo😂
Ila wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂Mambo dear .
Ko una fata piss na sio kinywaji🤣😂
Kweli bro hata kumuambia mwana 'asante' naona atanichukulia pushover, nasemaga tu 'poa bro'😂Ila wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂
Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂
Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.
Wanaume tuna dunia yetu😆
Ukisema asante- utasikia acha umama mjuba🤣😂😂Kweli bro hata kumuambia mwana 'asante' naona atanichukulia pushover, nasemaga tu 'poa bro'😂
Hakika aiseeHata ukisaidia wenye uhitaji, unapata furaha fulani hivii💪
Inabidi tu, ndo njia ya kujikinga na homos😂Ukisema asante- utasikia acha umama mjuba🤣😂😂
Au una mtext mwana mambo?Kweli bro hata kumuambia mwana 'asante' naona atanichukulia pushover, nasemaga tu 'poa bro'😂
Sio lazima upeleke kanisania au msikitini, Kuna jamii kubwa yenye uhitaji wa kweli.Hakika aisee
Wabarikiwe sana watoaji .
I mean no malice to nobodyNicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,
Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
View attachment 2659590
Wanawake wako hivyo aiseeIla wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂
Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂
Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.
Wanaume tuna dunia yetu😆
Mkuu siunajua lakini billionaires wanatumia philanthropy kama tax write-off??Sio lazima upeleke kanisania au msikitini, Kuna jamii kubwa yenye uhitaji wa kweli.
👉Na hawana was kuwasemea au kuwatetea😭
I had a friend o-level alikua anacheza basket yuko na Ile gym bod....Nicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,
Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
View attachment 2659590
Yeah kweliSio lazima upeleke kanisania au msikitini, Kuna jamii kubwa yenye uhitaji wa kweli.
👉Na hawana was kuwasemea au kuwatetea😭
Yeah, nishasikiaMkuu siunajua lakini billionaires wanatumia philanthropy kama tax write-off??
ni hatari kina bill gates silent killers😂Yeah, nishasikia