Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mambo dear .
Ila wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂

Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂

Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.

Wanaume tuna dunia yetu😆
 
Ila wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂

Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂

Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.

Wanaume tuna dunia yetu😆
Kweli bro hata kumuambia mwana 'asante' naona atanichukulia pushover, nasemaga tu 'poa bro'😂
 
Nicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,

Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
FB_IMG_16869112776008151.jpg
 
Ila wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂

Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂

Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.

Wanaume tuna dunia yetu😆
Wanawake wako hivyo aisee
Wengine wanenda mbali kwenye ushoga kuwa karibu sana .

Nyie ni ukauzu tu kwenda mbele
Sema mna urafiki mzuri sana
 
Back
Top Bottom