Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,

Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2659590
I mean no malice to nobody
 
Ila wanawake mna dunia yenu nyingine, mnaitana kipenzi, dear, my love n.k, hayo maneno kwa upande wetu huku umuite rafiki yako hivyo hapo ni ngumi zinaanza zikisindikizwa na matusi mazito mazito😂

Hata rafiki yako akiwa amejazia kifua, ana six packs ama mkono kabla ya kumsifu lazima umpe tusi zito kwanza ndipo sifa inafuatia utasikia we mse... kmmk zako naona mkono umetoka! 😂

Kama unataka utengwe wenzio wajue ume left group we sema asee una kifua kizuri😂😂😂
Ukikoswa kofi ujue utatengwa.

Wanaume tuna dunia yetu😆
Wanawake wako hivyo aisee
Wengine wanenda mbali kwenye ushoga kuwa karibu sana .

Nyie ni ukauzu tu kwenda mbele
Sema mna urafiki mzuri sana
 
Nicolee kapiga kwenye mshono, wanaume wanaoshinda GYM na wanao act urijali, wanatoa matusi mazito mazito,

Nasemajee Nicolee ongezaa dosage hadi wapoteaneee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2659590
I had a friend o-level alikua anacheza basket yuko na Ile gym bod....
Kumbe alikua homo akaja kobolewa for 30k😬
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nakufa kwa kucheka huku sio kwa haya matusi na mapovu nayosoma, watu wanatoa hadi maneno mapyaa ambayo mbea mie siyajui.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiiiiih
 
I had a friend o-level alikua anacheza basket yuko na Ile gym bod....
Kumbe alikua homo akaja kobolewa for 30k[emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa hadi mbavu zinaumaaa.
Watu wameguswaa pale pale panapo umaaa.

Kina Aggrey na Noel wamepumzishwa sasa, kibao kimehamia kwa watu wa GYM na hawa wanao fake u rijaliii.

Woiiiiiiiiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom