sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mwanza papo vzr saana. Hususani njururu ukiwa nazoSema Tinsley mi my favorite place to live ni mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza papo vzr saana. Hususani njururu ukiwa nazoSema Tinsley mi my favorite place to live ni mwanza
Anha okay , binafsi sipendi keleleBar ni nyingi Ila sio saana. So far labda uwe unaishi near to it. Lakini hazisababishi kelele mji mzima.
Bar inayopiga kelele labda BL park. Nyingine ni tulivu saaana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes network not reachable 😂😂😂🏃Nimecheka kifala 😂😂🤣, we mwehu kweli🤣😂😂
Yes. Kule ni high class tuu.Jana nimeona kwenye kipindi cha Ujenzi huko Goba estate wanajisifia ni vijana watupu wamejenga .
Ghorafa za maana semaa hazijafikia za Bunju beach na Mbweni kule aisee .
Yaani mi Nita zunguka pote, ila mwisho narest hapo na Aaliyyah 😍😂
Kumaanisha 🤔😂🤣🤣Sometimes network not reachable 😂😂😂🏃
Anha okay , binafsi sipendi kelele
Yeah bar zipo barabarani sana




hahah ngapi?? Ukianzia tabata relini paka mbezi kuna baa chache 40 40 micassa kitambaa the great pale kites BL G7 then kibozone. Zimeisha...


Macho ya ninj mkuu🤔
Upo vzr. Safi. Ile yenye milima mikali ni ipi?Hata usijari bruuh, utanambia mapema ili nikate tickets za mtu 2, afu tutapita njia ya Lindi, tukiwa Tunarudi Dsm tutapita moro.
Wee unasemajee.
Hamna hataYes. Kule ni high class tuu.
Huku tabata kinyerezi watu wamechanganyika mostly ni middle income earners very few high profile people. Pia kuna low income earners hao ndio tunao haribu mji WA watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Flamingo Inn?? Umesahauhahah ngapi?? Ukianzia tabata relini paka mbezi kuna baa chache 40 40 micassa kitambaa the great pale kites BL G7 then kibozone. Zimeisha...
Chache saaana
Sent using Jamii Forums mobile app



Kuna moja ipo karibu na segerea kwa bibi inaitwaje ??hahah ngapi?? Ukianzia tabata relini paka mbezi kuna baa chache 40 40 micassa kitambaa the great pale kites BL G7 then kibozone. Zimeisha...
Chache saaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Moro,




Hata ukisaidia wenye uhitaji, unapata furaha fulani hivii💪Money makes you glow aisee
Ni mwendo wa furaha tu .
Huna wasi wasi .
sumbai hapa Ume maanisha Nini??
Dogo una kitu utafika mbaliHata ukisaidia wenye uhitaji, unapata furaha fulani hivii💪
Pamepoaa saana pale. Halafu hawana wahudumu pisi kaliFlamingo Inn?? Umesahau![]()
Shukrani mkuu, Afu mi sio dogo😂🤣.Dogo una kitu utafika mbali