Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .

Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pole saana. Unamawazo gani????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio aiseee why not
Week mbili kama mmekuwa kaka na dada [emoji23][emoji23][emoji23]

Muenjoy wakati penzi liko la moto sio baade huko hauna memories zozote za mpenzi wako .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli kabisaa. Umri ukiwa umeenda Kama huu wetu Yani mwezi unapita bila bila. Normal kabisaaa.

Vijana wakina cocastic tumieni ujana vyedi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli kabisaa. Umri ukiwa umeenda Kama huu wetu Yani mwezi unapita bila bila. Normal kabisaaa.

Vijana wakina cocastic tumieni ujana vyedi

Sent using Jamii Forums mobile app
Umri hauchagui hujui nyie wazee ndo mpo romantic kuliko vijana .

Ni muhimu sana kurevive mahusiano yenu kila mara yani ndo muwe ndo kama mmekutana leo .

Upendo tu uzidi siku zote .
 
Back
Top Bottom