cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
G ananipa furaha mnoo, kwan mwanzo hata sikutegemea.Ex nenda salama![]()
Hahaa na unashukuru mlivyoachana wapi ungejisikia furaha hivyo
Ila penzi limekua



G ananipa furaha mnoo, kwan mwanzo hata sikutegemea.Ex nenda salama![]()
Hahaa na unashukuru mlivyoachana wapi ungejisikia furaha hivyo



Sky is the limit dearIla kweli dear, hakuna kinacho shindikana.
Omba kweli.Sky is the limit dear
Tena who knows , mwakani tunaweza kula ubwabwa .




Awwh love is a beautiful thingG ananipa furaha mnoo, kwan mwanzo hata sikutegemea.
Ila penzi limekua![]()
All the bestOmba kweli.
Mwakani mkule ubwabwa.
![]()
nitumieee namba za mshika micAloshikiwa mic
Dah Kwa hiyo wewe unataka uishi na Mali yako IPO karibu.Long distance ngumu
Kamaa vipi abaki hapa mjini tu .
Kulinda penzi .
Sikutaka mahusiano chuo kisa hichi , mkimaliza kila mtu kwao .



Ikitokea yupo mbali sawa
Kuwa karibu kuna kumchoka. Awe mbali...kidogo. kuonana twice a monthIkitokea yupo mbali sawa
Ila raha kuwa karibu sana lol
Ndo maaana namshauri coca hapo aisee kijana huyo amuweke karibu , wasitokee vipeperushi .
Au kama vipi uniletee tu mwenyewe 😂Pouwa
Khaa 😂😂😂😂Bora maana hili lilinifanya kama mbibi flani hivi...😵😵
Yeah itakuwa hivyo aisee
Nikiingia sikai sana
Naendelea vyema vipi wewe?
Beach tutaenda ngoja nipone mguu uuh .
Ah jamani kuchokana wapi hiyoKuwa karibu kuna kumchoka. Awe mbali...kidogo. kuonana twice a month
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile ua ndo linakyfanya uonekane mbibi achana naloBora maana hili lilinifanya kama mbibi flani hivi...😵😵
Asante dearUnaumwa mguu?
Pole
Ulifanyaje?
Pole sana mdogo wanguAsante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .
Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi 😂😂😂
Asante sana kakaPole sana mdogo wangu
Jana nikakuwekeaa picha yaniPole sana mdogo wangu