sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Ni kweli no one is too old for love.No one is too old for love aisee
Na siku hizi ndo kabisa .
We all need someone to love,
Watu wazima bize kulea vijana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli no one is too old for love.No one is too old for love aisee
Na siku hizi ndo kabisa .
We all need someone to love,
Hakuna kitu mtafanya.Salama chief
Msimu wetu huu tunajipanga vizuri


Zaidi ya kucheza siku za sendoffYeah someone to care for you, akuambie jinsi anavyokupenda .Ni kweli no one is too old for love.
Watu wazima bize kulea vijana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna umri ukifika hasa huu uzee wetu inatokea jogoo anawika mara 1 au 3 tu kwa mwaka utasema yule Jogoo wa enzi ya Petro.Akili inataka umri na mwili vinakataa.
Labda ndugu yangu Grahams popote alipo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Msisahau kutuombea Wazee wenu 🤪View attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako
Happy day.View attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako
😍😍lips za dhahabuDuh na sijaona aisee
Duh na sijaona aisee




Wapo aiseeeHappy day.
Mkuu MTU Kama Aaliyyah ninavyojua ni MTU WA MTU mmoja.
Tinsley ni kweli kuwa hamna mwanamke WA kwako peke yako??
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na kwenda kanisani na Bado unatusemaView attachment 2660118
Muwe na sabato njema yenye baraka Tele na kumpendeza Mungu
Hakuna mwanamke wa pekee ako
Nishatoka adolescence huko😍😍lips za dhahabu
Àsante mdogo wangu
Si uondoe tu hiyo saa
Itasababisha upate chunusi usoni😁
Toka pepo 😂😂😂😂Nimeghair kwenda kanisani ngoja nika selfika kwanza chooni kimoja![]()
Umeweka katika lugha rahisi inayoeleweka.Kuna umri ukifika hasa huu uzee wetu inatokea jogoo anawika mara 1 au 3 tu kwa mwaka utasema yule Jogoo wa enzi ya Petro.
Ndiyo maana Wazee huwa tunasema ukitaka kufurahia Supu unywe ikiwa Yamoto![]()
Hiyo saa sasa itakuleteaNishatoka adolescence huko
Natoa wapi chunusi 😂😂😂
Kweli kabisaa.Wapo aiseee
Kikubwa ni kumpenda tu huyo ke
Ninao nane😀😀Happy day.
Mkuu MTU Kama Aaliyyah ninavyojua ni MTU WA MTU mmoja.
Tinsley ni kweli kuwa hamna mwanamke WA kwako peke yako??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa wazee wa selfika