MarahabaAsante sana kaka
Mungu ni mwema sana
Habari ya leo,??
Shikamoo
Asante dear
Eh niliteleza wakati navuka road aisee .. Nikajikuta niko chini gari hilo , namshukuru Mungu .
Hakuna kitu kinauma kama vidole ,nilivaa wigi nikavua ghafla sijui lilienda wapi![]()





Ah jamani kuchokana wapi hiyo
Basi muonane once a week na sleep over![]()




Karibu sana
Viatu aisee ni slippery ile mbaya
Ndio aiseee why not
Pole saanaa. Inabidi uuchue mguu.Viatu aisee ni slippery ile mbaya
Nashukuru ilikuwa bararbara iliyotulia sio kama hii bagamoyo road .
Ndio aiseee why not
Week mbili kama mmekuwa kaka na dada
Muenjoy wakati penzi liko la moto sio baade huko hauna memories zozote za mpenzi wako .




Asante sana
Umri hauchagui hujui nyie wazee ndo mpo romantic kuliko vijana .
Kweli kabisaa. Umri ukiwa umeenda Kama huu wetu Yani mwezi unapita bila bila. Normal kabisaaa.
Vijana wakina cocastic tumieni ujana vyedi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami niko poa sanaKaribu sana
Nipo poa jirani vipi wewe ??
Akili inataka umri na mwili vinakataa.Umri hauchagui hujui nyie wazee ndo mpo romantic kuliko vijana .
Ni muhimu sana kurevive mahusiano yenu kila mara yani ndo muwe ndo kama mmekutana leo .
Upendo tu uzidi siku zote .
Mzee wa Liverpool. Heshima yako kiongoziAsante mdogo wangu
Ila hiyo saa inakuumiza itoe tuone japo lips![]()
No one is too old for love aiseeAkili inataka umri na mwili vinakataa.
Labda ndugu yangu Grahams popote alipo...
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaAsante mdogo wangu
Ila hiyo saa inakuumiza itoe tuone japo lips 😜
Salama chief
Siku hizi naweka inakaa siku nzima muulize Dr LizzyHahaa
Tukuone na wewe mzee wa sekunde 3