Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante,, una mawazo kama yangu.. mwenyewe kabla sijaanzisha mazoea na mtu huwa cha kwanza ninachowaza ni tabia tu siyo uchumi wala siyo kitu kingine maana kusipokuwa na compatibility ya tabia naona kabisa hatutafika mbali
Exactly
Na hilo ndo linanikwamishaga mimi!
 
Kuna baadhi ya wanawake jf wako very cooled kitu ambacho hata nje jf watakuwa hivyo hivyo...

Ila sasa kuna wanawake wengine ukiona comment yake moja tuu..
..

Ila pia kuna nyuzi za ugomvi zishaanzishwaga jf ...ukiangalia mhusika/wahusika kama kuna vijiwe fulani hivi..

You end up stepping back..!

Ila mimi naamini kila mtu anaweza kubahatika kuonana na mtu from jf na wakafanya maisha pouwa sana
Hivi Kuna wadada waliowahi onana na kuja kuchomoleana betri humu?
 
Hii kitu ishawahi nitokea..ila sikujiuliza sana nilipotezea maana hata huyo aliyeniona na mimi nilimjua kwa namna yangu
 
100℅ hasa waliotongozana pm kizembe. Matarajio yakiwa tofauti ndio na mtu na akili zake mbovu anachomoa betri.
Ni utoto tu.

Lakini kama mmekutana kwa ishu zingine wala hakunaga ujinga huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…