Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

that's ma bro
Hahah okay...anyway it's what it's

Kwa sisi wengine life aint bout a small circle of being only in one place, knowing same peeps forever, hiding in em cocoons blaah blaah blaah...

If meeting new peeps would take me to the next level, hell yeah lets freakin meet...fate will fuckn decide the rest
 
Mmhh kuna mkaka nilisoma naye alikuwa ana muandiko mzuri jamani hasa akiandikia black pen karatasi inakuwa kama imetolewa copy vile,, hadi nikawa namuomba awe anaandikia black pen tu..
Ukiona mwandiko wangu lazima ukalazwe aisee....mda mwingine hata mimi siwezi kuusoma,sasa huo ndio wakiume.

Wakike mnaumba herufu kama zilivyo mbwembwe nyingii....weka uno hilo uzi uchafuke huu
 
Mwandiko una uhusiano na namna mtu anafikiri, muda anaotumia kufikiri na hatimaye kuamua...

Ukisoma soma makala za watu wanaopenda fanya research za human behavior, wanakwambia watu wanaoandika haraka(mwandiko mvurugo ), wana uwezo mkubwa wa kufikiria na kuamua....

Halafu wale wanaoandika taratibu na kutumia muda mrefu kuumba herufi, eti hata namna yao ya kutafakari ipo taratibu, huchukuwa muda kufanya maamuzi
Mmhh kuna mkaka nilisoma naye alikuwa ana muandiko mzuri jamani hasa akiandikia black pen karatasi inakuwa kama imetolewa copy vile,, hadi nikawa namuomba awe anaandikia black pen tu..
 
loh kumbe??
Mwandiko una uhusiano na namna mtu anafikiri, muda anaotumia kufikiri na hatimaye kuamua...

Ukisoma soma makala za watu wanaopenda fanya research za human behavior, wanakwambia watu wanaoandika haraka(mwandiko mvurugo ), wana uwezo mkubwa wa kufikiria na kuamua....

Halafu wale wanaoandika taratibu na kutumia muda mrefu kuumba herufi, eti hata namna yao ya kutafakari ipo taratibu, huchukuwa muda kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom