Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
anakukwepa?
Ee hataki kuonana na mimi eti 😂😂😂😂
anakukwepa?
Ee hataki kuonana na mimi eti![]()
Basi hilo pande nimegee mimi![]()
Hahahahh being fake doesn't mean sihitaji marafiki....tunaweza kuwa marafiki humu humu tu ...haipo nafasi ya meeting
Mshawishi basi tukutane watatu
Halafu bahati nzuri wewe na yeye watu wa vyombo![]()
Hahah!Mkuu nisaidie basi ni-meet na Atoto, yeye haelewi kukutana live ndio mpango mzima, ila hiyo ya ku-check mwaka mzima mimi sitaweza![]()
Anapenda k vant yule...
Ooh sasa mbona imekaa kama nnya??![]()


achana nao....kama walishindwa kuona hata ule mwandiko wa kike watakua na matatizo
achana nao....kama walishindwa kuona hata ule mwandiko wa kike watakua na matatizo
![]()



Hivi kuna mwandiko wa kike na wa kiume
Wakibisha sana uniambie niwaprove wrong kwa kutupia lijiselfie la #uno hapa![]()