Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

..
20191127_105401.jpeg
 
Hahah okay...anyway it's what it's

Kwa sisi wengine life aint bout a small circle of being only in one place, knowing same peeps forever, hiding in em cocoons blaah blaah blaah...

If meeting new peeps would take me to the next level, hell yeah lets freakin meet...fate will fuckn decide the rest [emoji16]
Hahahahh being fake doesn't mean sihitaji marafiki....tunaweza kuwa marafiki humu humu tu ...haipo nafasi ya meeting
 
Mkuu nisaidie basi ni-meet na Atoto, yeye haelewi kukutana live ndio mpango mzima, ila hiyo ya ku-check mwaka mzima mimi sitaweza [emoji39]
Hahah!

Mkuu kama hapendi just don't force...

Wewe endelea kustorisha naye tu hapa, huwezi jua kwa nini anatosa usikute Atoto ni mdogo wetu disii wa Kisarawe

Ingawaje wadada wengi JF wapo so decent, hawana mambo za ajabu (ingawaje wana viumbea which is normal...it's girls...you know!!!)
 
Ukiona mwandiko wangu lazima ukalazwe aisee....mda mwingine hata mimi siwezi kuusoma,sasa huo ndio wakiume.

Wakike mnaumba herufu kama zilivyo mbwembwe nyingii....weka uno hilo uzi uchafuke huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kuna mwandiko wa kike na wa kiume

Wakibisha sana uniambie niwaprove wrong kwa kutupia lijiselfie la #uno hapa [emoji23]
 
Back
Top Bottom