cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
The citizens!!!!Leo Man City mapema sana ananyanyua ndoo UEFA
Mbappé hata abaki PSG sioni wakiwa na timu ya ushindani kubeba UEFA






KumekuchaaaaaaaaahTiriririii Tiriririii
Ahaaaaa Ahaaaa
Tiriririka kama si diaba
Najaza ndoo
Raha nnazompa
Eti kama marhaba
Nikimpa shikamoo
Haniachi njiani nafika
Mi kwake Yes sisemi No
Siwezagi kususa nisipomuona
Wafukuta moyo
Asante angalau umenionesha
Maana ya upendo
Na sio kwa nahau (kwa nahau)
Umenionesha kwa vitendo
Sitokaaga nisahau
Nilinyanyasika hapo mwanzo
Niliyaoga madharau
Kwa kumpenda asiojali upendo
Mapenzi sio mchezo wa ngumi
Nipige na khanga au ukuni
Hata ukinifinya finya haiumiView attachment 2653560
Today no kula kula🤣😂😂
Aliondoe kabisaPunguza ua kidogooo![]()
😀KumepambazukaKumekuchaaaaaaaaah
Ngoja nimwite mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania 😂😂
Madam nilitoe Hilo ua??Jichange na Mjep nilete mtaalamu wa kulitoa!😁
Dahan, mshamba_hachekwi, Poor Brain mwambienu Aaliyyah anisaidie Mana Ninapo elekea🤔🤣🤣🤣Bendera eehh😂😂
😀😀😀DahDahan, mshamba_hachekwi, Poor Brain mwambienu Aaliyyah anisaidie Mana Ninapo elekea🤔View attachment 2654006
Ume tuchoka wageni🤔, Mana tu msosi tudogo- Afu leo tule saa 5 usiku🤔😂😂😁😁😁
Tutakula jioni!!!!!!