Huku 👉👉👉👉Wapi huko??
Nilikua naota chiefBro Mjep hilali🤔😂🤣
Kushoto kwako ama??😜Huku 👉👉👉👉
😂 kwenye roman goatWapi huko??
Pale tutaangalia kwa utulivu bila kelele😂 kwenye roman goat
Astaghfirullah....😂 kwenye roman goat
Sakina kwa mfuga pakaKushoto kwako ama??😜
Anzia hapa....😂 kwenye roman goat
Mda ule ndio nilikuwa nimestukaUlilala late sana
Hapa hatushibiAnzia hapa....View attachment 2652194
Kwa mfuga paka tena oooh nooSakina kwa mfuga paka
Njoo unikope mimi sasaWhy me
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti
Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda
Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura end of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia
Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei
Naogopa madeni siwezi kukopa jana nimetoka kuuza cm yangu nilikuwa naipenda sanaNjoo unikope mimi sasa
Hapa nilipo nimepotea tayari😅Shemeji hakikisha unapotea kama Mbosso Jack Palladino
Fungulia uzi hii kijanaWhy me
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti
Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda
Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura end of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia
Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei
SawaFungulia uzi hii kijana
How old are you?Why me
Alianza dada yangu wa kwaza kuzaliwa kunikopa pesa akakimbia nayo mitini nikanyamaza kimya akaja tena ndugu yangu mwingine kanikopa akakimbia miti
Ndani ya uho mwezi nikapewa tenda ya kuvalisha watu wa mwenge katika halmashauri fulani nikaagiza vitenge kongo nikatapeliwa nikaingia kwenye kukopa tena mtu ili kukamilisha iyo tenda
Baada ya muda fulani tena rafiki yangu wakaribu kanishauri juu ya kuwekeza mtandaoni paymara nikaingia kumbe nae ni tapel kanitapeli kama laki na nusu sijakaa sawa nakutana na rafiki yangu wa shule ya upili yaani sekondary sehemu nilio kuwa nafanya kwa mkataba baada ya muda kaja akaniambia kuna mchongo nikauelewa ule mchongo nikajua napiga pesa ndefu sana nikaingia king kumbe nikutapel taasisi bila kujua nikaingia mtegoni kuja kufumbua macho nakuja kugundua ni tapel wakat uho nishaliwa laki tatu ambayo ilikuwa hela ya chakura end of the day unajikuta una madeni mengi hujui pakuanzia tena unaomba msaada kwa ndugu ambao ulikuwa unawasaidia kipindi icho ulipo pata mirathi yako nao wanakukimbia
Unabaki kujiuliza kwnini watu wakutapel hawana huruma mtu anakutapel af anakwambia nenda popote pale mwingin anakuambia karibu machungwa kila ukipiga namba hapokei