Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. πŸ’›πŸ’š
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ rudia niko hapa dah
FB_IMG_16853104945552485.jpg

Bantu Lady, National Anthem
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… itapitishwaa tu , si tunapenda misaadaa banaaa ... ku disturb mtu naleta tu posaaa ,🀣🀣🀣 ili mradi mnuniane basii.. sipati picha hii sheria ikipita
Sitakubali napenda uhai wangu,Wanawake tunaweza kubali kuwa wake zaidi ya mmoja ila nyinyi labla mkufe mzaliwe upya 😬
 
Sitakubali napenda uhai wangu,Wanawake tunaweza kubali kuwa wake zaidi ya mmoja ila nyinyi labla mkufe mzaliwe upya 😬
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… swala la mda tu.. ingawa patachimbika sanaaa hiyoo sheria ikiletwaa na kupitishwaa . maana si mnataka haki sawa 50/50
 
Hebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.
Kuna mtu niliwahi kaa nae yeye aliwahi kuwa Voda makao makuu, alisema kuna mtonyoo balaa.
Vodacom makao makuu maisha yamelala kibongo kibongooo pesa ipo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Back
Top Bottom