Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mbele patamu kwa Japan ingawa wana complication vingii, ila kama unapata nafasi ya chuo kule mengine unajongeza kama upo smart unatoboa mazima
Mie nikifanikiwa kuamshia huko, wallah ankoliii nabaki huko huko sirudii tenaa hukuuu.
Ntafanya vyovyote nifanye uwezekano wa kutengeneza life la kuishi hukoo.
 
Mie nikifanikiwa kuamshia huko, wallah ankoliii nabaki huko huko sirudii tenaa hukuuu.
Ntafanya vyovyote nifanye uwezekano wa kutengeneza life la kuishi hukoo.
Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha
 
Tatizo lingnee ankolii hizi kazi unatakiwa nawe uwe na faranga za kutoa ili upate. Hapo mtihanii.
Kuna certification ukiwa nazo hupati shidaa ankol.. hata kama utaanzia nafasi za chini chap utapandaa.. kikubwa upate gape . pitia technology za Huawei, Junipy, Nokia Siemens Oracle .. utapata mwanga.. kuna demu mmoja nilikuwa nafanya nae kazi kwenye mtandao mmoja hivi.. alikuwa na maisha kinomaaa badae aliondoka akaenda zake ma mbelee ,😅😅
 
Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha
Bongo hela IPO kinyama, Ni kusumbua Akili jinsi gani unazipata.
👉Kuna msemo unasema hela zipo kwa watu, fikiri jinsi ya kuzichukua cocastic
 
Back
Top Bottom