National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Mie nikifanikiwa kuamshia huko, wallah ankoliii nabaki huko huko sirudii tenaa hukuuu.mbele patamu kwa Japan ingawa wana complication vingii, ila kama unapata nafasi ya chuo kule mengine unajongeza kama upo smart unatoboa mazima
umemposti mke wangu mdogo hapo




jamanii sasa mbna watu mkeo wanampaka usoni, imekuaje tenaa??Lovelovie 🥰🥰🥰 mdogo wanguu I love you .. ukuje hapo mdogo wangu miss youAsantreeeeeeh🕺🕺🕺!!
Kwa imani yangu, sitorudia Tena. Nimtakie kila la KHERI😐😑🤨Mjulie hali sis anguu!!
Tatizo lingnee ankolii hizi kazi unatakiwa nawe uwe na faranga za kutoa ili upate. Hapo mtihanii.ila kupata kazi kwenye Telecom industry ni rahisi sana kama una ka mtaji ka kufanya baadhi ya certification za kimataifa.. inakuwa ni kugusaa tu..
ndiyo nashangaa sasa 🙄imekuaje tenaa?
Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maishaMie nikifanikiwa kuamshia huko, wallah ankoliii nabaki huko huko sirudii tenaa hukuuu.
Ntafanya vyovyote nifanye uwezekano wa kutengeneza life la kuishi hukoo.
Graciaa papi, wish yah all da best😐😑🤨acha nae nae huyoo, asi msumbue mdogo wangu kipenziii Lovelovie .. akwendeee zake. mapenzi niliyonayo kwa mdogo wangu yana mtoshaa kilaaa kituuu anapataaaa 😅😅😅
Nasemaaaajeeeeee nasemajee...Kawa imani yangu, sitorudia Tena. Nimtakie kila la KHERI😐😑🤨
👉Imani muhimu, hauwezi amini.
Kuna certification ukiwa nazo hupati shidaa ankol.. hata kama utaanzia nafasi za chini chap utapandaa.. kikubwa upate gape . pitia technology za Huawei, Junipy, Nokia Siemens Oracle .. utapata mwanga.. kuna demu mmoja nilikuwa nafanya nae kazi kwenye mtandao mmoja hivi.. alikuwa na maisha kinomaaa badae aliondoka akaenda zake ma mbelee ,😅😅Tatizo lingnee ankolii hizi kazi unatakiwa nawe uwe na faranga za kutoa ili upate. Hapo mtihanii.
Bongo hela IPO kinyama, Ni kusumbua Akili jinsi gani unazipata.Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha
Na nisikuone kitaaa.. maweee yatakuhusuu yanii nafungulia na bull dog wetu umalizane nae 😅😅😅😭Graciaa papi, wish yah all da best😐😑🤨
Mie hata ufanyaje hunipeleki nje ya nchi labda kama kwenda kula bata tuBongo hela IPO kinyama, Ni kusumbua Akili jinsi gani unazipata.
👉Kuna msemo unasema hela zipo kwa watu, fikiri jinsi ya kuzichukua cocastic
HiyohiyoParachute hii ya Nazi, iko kwenye kopo.ka gallon ka blue'?? Harufu yake unaiweza?? Mie imenishindaa
Nimeji ambia asubui, no longer dealing with love, till my washing powder company is establishedNasemaaaajeeeeee nasemajee...
Wee jitekenye na kucheka mwenyewe
Kiukweli napenda kuishi mambelee.Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha



