Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanao mjua intelli wa sasa, wanaelewa kuwa huwa natoa kitu kilicho Bora kutoka ndani yangu🤗
👉 Kama hauwezi niamini, kwa kila Ninacho fanya. Basi siwezi endelea kupanda mbegu kwenye mlima🤨😑
Antonnia - nime tafasiri🤗
Naona Unajitekenya na kucheka mwenyewe! !!

Nipo nimekaa paleeee... 👉👉👉 kwa sauti ya Nyumbu
 
Hebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.
Kuna mtu niliwahi kaa nae yeye aliwahi kuwa Voda makao makuu, alisema kuna mtonyoo balaa.
Position za hela kama hizi 😅😅😅
mie sasa hivi naendelea na shule nimeona isiwe case niajiliwe kipindi nasomaaa..

Job Title: M-Pesa Security Chapter Lead

ila hii imeisha pitaaa na maji
 
Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. 💛💚
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ rudia niko hapa dah
Mweh nilitupia picha niko stand Singida shougaaangu!! .
Amina amina kubwaaa!
Kila lenye kheri kwa yangaaa💚💚💛💛
 
yeye alitoka now yuko ktk NGOs ya kimataifa, Arusha sio haba mpunga anao anao.

Aseeeh nitonyee, mwenzio natafuta na connection ya kusepea mambelee. Yaan nikipata chance tyuuh silembi naamshaa woiiiii
mbele patamu kwa Japan ingawa wana complication vingii, ila kama unapata nafasi ya chuo kule mengine unajongeza kama upo smart unatoboa mazima
 
Position za hela kama hizi
mie sasa hivi naendelea na shule nimeona isiwe case niajiliwe kipindi nasomaaa..

Job Title: M-Pesa Security Chapter Lead

ila hii imeisha pitaaa na maji
Maneeeenaaaaah ankoliiiii unanivurugaaaa, mbna najionaa km vilee naelekeaa kutoboaaa,
Duuuh hapa ukitoboaaa asalii unalambaa hadi nyuki wanaogoaa wooiiiiiih
 
Maneeeenaaaaah ankoliiiii unanivurugaaaa, mbna najionaa km vilee naelekeaa kutoboaaa,
Duuuh hapa ukitoboaaa asalii unalambaa hadi nyuki wanaogoaa wooiiiiiih
ila kupata kazi kwenye Telecom industry ni rahisi sana kama una ka mtaji ka kufanya baadhi ya certification za kimataifa.. inakuwa ni kugusaa tu..
 
Back
Top Bottom