Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Position za hela kama hizi [emoji28][emoji28][emoji28]
mie sasa hivi naendelea na shule nimeona isiwe case niajiliwe kipindi nasomaaa..

Job Title: M-Pesa Security Chapter Lead

ila hii imeisha pitaaa na maji
Maneeeenaaaaah ankoliiiii unanivurugaaaa, mbna najionaa km vilee naelekeaa kutoboaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh hapa ukitoboaaa asalii unalambaa hadi nyuki wanaogoaa wooiiiiiih
 
Maneeeenaaaaah ankoliiiii unanivurugaaaa, mbna najionaa km vilee naelekeaa kutoboaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh hapa ukitoboaaa asalii unalambaa hadi nyuki wanaogoaa wooiiiiiih
ila kupata kazi kwenye Telecom industry ni rahisi sana kama una ka mtaji ka kufanya baadhi ya certification za kimataifa.. inakuwa ni kugusaa tu..
 
mbele patamu kwa Japan ingawa wana complication vingii, ila kama unapata nafasi ya chuo kule mengine unajongeza kama upo smart unatoboa mazima
Mie nikifanikiwa kuamshia huko, wallah ankoliii nabaki huko huko sirudii tenaa hukuuu.
Ntafanya vyovyote nifanye uwezekano wa kutengeneza life la kuishi hukoo.
 
Mie nikifanikiwa kuamshia huko, wallah ankoliii nabaki huko huko sirudii tenaa hukuuu.
Ntafanya vyovyote nifanye uwezekano wa kutengeneza life la kuishi hukoo.
Bongoo pazuri banaa.. ukiwa na helaaa huko nje unaenda kutumbua bataaa ... hela bado ipo nyingi sana humu ndanii.. angalia sector ya bank au telecom au mining ule maisha
 
Tatizo lingnee ankolii hizi kazi unatakiwa nawe uwe na faranga za kutoa ili upate. Hapo mtihanii.
Kuna certification ukiwa nazo hupati shidaa ankol.. hata kama utaanzia nafasi za chini chap utapandaa.. kikubwa upate gape . pitia technology za Huawei, Junipy, Nokia Siemens Oracle .. utapata mwanga.. kuna demu mmoja nilikuwa nafanya nae kazi kwenye mtandao mmoja hivi.. alikuwa na maisha kinomaaa badae aliondoka akaenda zake ma mbelee ,😅😅
 
Back
Top Bottom