cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Parachute hii ya Nazi, iko kwenye kopo.ka gallon ka blue'?? Harufu yake unaiweza?? Mie imenishindaa
Parachute hii ya Nazi, iko kwenye kopo.ka gallon ka blue'?? Harufu yake unaiweza?? Mie imenishindaa
Naona Unajitekenya na kucheka mwenyewe! !!Wanao mjua intelli wa sasa, wanaelewa kuwa huwa natoa kitu kilicho Bora kutoka ndani yangu🤗
👉 Kama hauwezi niamini, kwa kila Ninacho fanya. Basi siwezi endelea kupanda mbegu kwenye mlima🤨😑
Antonnia - nime tafasiri🤗




jomoneee dada we nae,Position za hela kama hizi 😅😅😅Hebu nitonyeee ankoliiii, vawulencee hadi kwanguu?? Vibayaa hivyooo nishtuee na miee.
Kuna mtu niliwahi kaa nae yeye aliwahi kuwa Voda makao makuu, alisema kuna mtonyoo balaa.![]()
🥰🥰🥰Parachute hii ya Nazi
Mweh nilitupia picha niko stand Singida shougaaangu!! .Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. 💛💚
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️ rudia niko hapa dah
Aminaaaaaaaaaaahhh!Huyo huwa anapotea tukishinda. Na akirudi ID anabadili. Tuombe tutashinda. 💛💚
Ooh safari njema mamii. Mwenyezi Mungu awatangulie.Mweh nilitupia picha niko stand Singida shougaaangu!! .
Amina amina kubwaaa!
Kila lenye kheri kwa yangaaa💚💚💛💛
Vodacom makao makuu maisha yamelala kibongo kibongooo pesa ipo![]()


yeye alitoka now yuko ktk NGOs ya kimataifa, Arusha sio haba mpunga anao anao.



Mate check, unataka nifanye Nini Sasa🤔🤔
mbele patamu kwa Japan ingawa wana complication vingii, ila kama unapata nafasi ya chuo kule mengine unajongeza kama upo smart unatoboa mazimayeye alitoka now yuko ktk NGOs ya kimataifa, Arusha sio haba mpunga anao anao.
Aseeeh nitonyee, mwenzio natafuta na connection ya kusepea mambelee. Yaan nikipata chance tyuuh silembi naamshaa woiiiii![]()
Na ukifungwaaa🤔🤔, utatubeba leo😂😂🤗Tukishinda leo aiseee ntaanza na haka kaputin kalikojibatiza uarabu USM ALGER
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina dear...Ooh safari njema mamii. Mwenyezi Mungu awatangulie.
Maneeeenaaaaah ankoliiiii unanivurugaaaa, mbna najionaa km vilee naelekeaa kutoboaaa,Position za hela kama hizi
mie sasa hivi naendelea na shule nimeona isiwe case niajiliwe kipindi nasomaaa..
Job Title: M-Pesa Security Chapter Lead
ila hii imeisha pitaaa na maji




Mjulie hali sis anguu!!Mate check, unataka nifanye Nini Sasa🤔🤔
ila kupata kazi kwenye Telecom industry ni rahisi sana kama una ka mtaji ka kufanya baadhi ya certification za kimataifa.. inakuwa ni kugusaa tu..Maneeeenaaaaah ankoliiiii unanivurugaaaa, mbna najionaa km vilee naelekeaa kutoboaaa,
Duuuh hapa ukitoboaaa asalii unalambaa hadi nyuki wanaogoaa wooiiiiiih
acha nae nae huyoo, asi msumbue mdogo wangu kipenziii Lovelovie .. akwendeee zake. mapenzi niliyonayo kwa mdogo wangu yana mtoshaa kilaaa kituuu anapataaaa 😅😅😅Mjulie hali sis anguu!!
umemposti mke wangu mdogo hapoMzee wa bao la mkonoo![]()