Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Onyesha mfano!Anza wewe, naweka yangu fasta😀
Onyesha mfano!Anza wewe, naweka yangu fasta😀
Mali ya watu tayari 😁😁midomoo hiyooo 😋😋😋 rangiii hiyoo dah.. ebu nimuone bibi harusi
Ndio nasubiri 🛺 hapa....ubebe na kabegi kako usisahu na maji ya kunywaa 😊😊
Kabisaaa kipenziiii umeona eeehhh!! Tatizo huku Nyakiboo sasa😂Shida Tonia anawahi kulalaa, weekend na yuko likizo atoke kuruka majoka 😅😅😅😘
Onyesha mfano!
Mashallah mrembo 🔥🔥🔥🔥 mbona ubweche 🤣🤣🤣 na soda ya Pepsi baridiii unashushia bi mzuri...Vijana wa hovyo wacha waendelee kukaza fuvu ndoa ni utapeli nishakula ubweche sasa hivi natafuta soda bariddiii
Tualikane kula ubwabwa 🤗jamani, uchoyo haupendezi nuzuVijana wa hovyo wacha waendelee kukaza fuvu ndoa ni utapeli nishakula ubweche sasa hivi natafuta soda bariddiiiView attachment 2644730
Vijana wa hovyo wacha waendelee kukaza fuvu ndoa ni utapeli nishakula ubweche sasa hivi natafuta soda bariddiii
Hivi Kuna binadamu mbaya🙄😁😂Mashallah mrembo 🔥🔥🔥🔥 mbona ubweche 🤣🤣🤣 na soda ya Pepsi baridiii unashushia bi mzuri...
We si upo kwennye group la ndoa ni utapeli😁Tualikane kula ubwabwa 🤗jamani, uchoyo haupendezi nuzu
Umesahau kuwa mgeni Ni malaika🤗🤗😂Huku kwetu ni 4000 kasoro 200!! Sasa si utanifilisi!??😳😳
Usinipeperushie warembo😁😂😂, lini, wapi na kwanini😁😁We si upo kwennye group la ndoa ni utapeli😁
Ubweche ni ubwabwa ila hapa tumekula pilauuu😁😁Mashallah mrembo 🔥🔥🔥🔥 mbona ubweche 🤣🤣🤣 na soda ya Pepsi baridiii unashushia bi mzuri...
Huyo ni malaika mnyonya damu....!🥴Umesahau kuwa mgeni Ni malaika🤗🤗😂
Mbona Kunitoboleshaa😊😁aaah leo nitapita nae hata kumbeba mgongoni kwa lazima 😅😅😅😅 namtobolesha hadi saa mbili asubuhii
me nakula maini na wali 🥰
Wanataka cakeAcha uvivu kwenye misosi, hujui hiyo ni hobby pendwa![]()
Huyo akili zake anazijua mwenyewe!!!We si upo kwennye group la ndoa ni utapeli😁
sheria inaandaliwa mke mmoja anaruhusiwa kuolewa na wanaume kuanzia wawili na zaidi 😊😊☹️Mali ya watu tayari 😁😁