Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,869
- 32,710
Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. 💛💚Muwe na jioni njemaaaa wapendwaaaaa!!
Tonniah was hiaaaaa✌️✌️✌️✌️✌️!
Bantu Lady ye34nbe National Anthem Kapachino asalam aleykum!!🤩
😅😅😅 kama kawa na kila kheri ile ya vodacom naona maji marefu sijakutonyaaaAnkoliii na hii rangi sasa, ntazidi kutakataa nikitabasamu tyuuh bas watu wanakuja tawini kwangu kwa wingii, mie ntaafanya j3 hii kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Udugu finalist, hebu nitafutie connection bas. Nisikae jobless [emoji23][emoji23][emoji23]Udugu kwani si bado upo chuo[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani kinanikera[emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅 na mume wa mtu ni ant poison.. mie nasubiri sheria ipitishwe ya nyie kuolewa na waume zaidi ya mmoja..Unajua kwamba mke wa mtu sumu😬
Yanga 2 - USM alger 0Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. 💛💚
Mie kuna lotion zinauzii zinatoa jasho ukipaka, siziwezii, naweza oga afu sipaki chochote.Mimi mafuta nayoyakuta ninakofikia,hayohayo napita nayo
Yasiwe tu cream za kujichubua..
Hizo siwezagi kupaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. 💛💚
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️ rudia niko hapa dah
Tukishinda leo aiseee ntaanza na haka kaputin kalikojibatiza uarabu USM ALGERNawe pia mrembo. Weekend njema. Tuiombee Yanga tupindue majamvi yao. [emoji169][emoji172]
Hee Antonnia kwani ulitubless? Sijaona [emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] rudia niko hapa dah
Kwa Africa sheria hiyo itakuwa ngumu maana Wanaume wa huku wanakichaa cha wivu 😁😁😅😅😅 na mume wa mtu ni ant poison.. mie nasubiri sheria ipitishwe ya nyie kuolewa na waume zaidi ya mmoja..
Lotion hata mimi sipendeleiMie kuna lotion zinauzii zinatoa jasho ukipaka, siziwezii, naweza oga afu sipaki chochote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu katafute Dp ingnee nawee,Itabidi unitumie niweke dp ya wasp
Una izungumziaje ndoa🤔🤔Naam Naam
😅😅😅 itapitishwaa tu , si tunapenda misaadaa banaaa ... ku disturb mtu naleta tu posaaa ,🤣🤣🤣 ili mradi mnuniane basii.. sipati picha hii sheria ikipitaKwa Africa sheria hiyo itakuwa ngumu maana Wanaume wa huku wanakichaa cha wivu 😁😁
Nimeipenda hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu katafute Dp ingnee nawee,
kuna mod wa kike kanichimba mkwara aisee 🙄 🙄Una izungumziaje ndoa🤔🤔
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] urembo huuwezi, hadi umotivotiwe?? WoiiiiiiihNkamu umenipa hamasa..
Nimejiscrub mwili mzima na sukari+asali
Kangozi kameteleza hako nimependa[emoji2960]
Endelea kupost mara kwa mara
Nikiona tu post yako,lazima nitafute socks na kupaka parachute kwenye viwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo huwa anapotea tukishinda. Na akirudi ID anabadili. Tuombe tutashinda. 💛💚Tukishinda leo aiseee ntaanza na haka kaputin kalikojibatiza uarabu USM ALGER
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakubali napenda uhai wangu,Wanawake tunaweza kubali kuwa wake zaidi ya mmoja ila nyinyi labla mkufe mzaliwe upya 😬😅😅😅 itapitishwaa tu , si tunapenda misaadaa banaaa ... ku disturb mtu naleta tu posaaa ,🤣🤣🤣 ili mradi mnuniane basii.. sipati picha hii sheria ikipita