mziki 😂Kidogo Nini😂😂
Hibiscus ✅View attachment 2644539
kwa ngozi na kukata njaa hizi tea huwa ni best
Una balaa😂, mpaka namisi jua jamani😔🏃♀️😂na nimevaa nguo nusu 😂😂 iko zake magotini
hapa napiga radar nikalale
Hibiscus
green tea naionaga mbaya
afadhali hata ka lemon tea
hapo naijua tu hyo stick deodorant![]()
Uduguu safari ingine uniite tuongozanee,![]()

Bro vibe la timeless ni kubwa Sana.mziki 😂
sikiliza wasanii wengi😂 timeless ishapitwa na wakatiBro vibe la timeless ni kubwa Sana.
👉 Imagine nimesikiliza feel x50 Jana
😂
Them go feel itsikiliza wasanii wengi😂 timeless ishapitwa na wakati
Mimi tangu nimetafuta scrub tuNkamu sio hobby yakovitu vya kwanza kuweka huwa ni vipodozi hapa nna kipele Shavuni toka usiku nahangaika nacho
![]()



Nilishindwa kusema direct tu shem darling...hilo lipo wazi kabisa🤣😂😂😂 shemeji wa kuonewa huruma ni Mwachi
Mimi tangu nimetafuta scrub tu
Ipo vilevile
Ile ya sukari na asali imejaa hadi nimetupa maana imekaa muda sana
Hebu ngoja niscrub miguu nivae socks
Sent using Jamii Forums mobile app




Mimi mafuta nayoyakuta ninakofikia,hayohayo napita nayokwa kweliii
Mwee ngoja nitafute.Nkamu ukiweza tafuta ila Scrub ya botouee ya Coffee ni nzuri sn na laini haitokuumiza uso.
Hapo pa socks![]()
