Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,232
Nikisemwa nasusa 🤣🤣Ntakupeleka kwa boss wangu mmoja hivi akugombeze, ukirudi unafanya vizuuuri kabisa!!!🤓😉
Nikisemwa nasusa 🤣🤣Ntakupeleka kwa boss wangu mmoja hivi akugombeze, ukirudi unafanya vizuuuri kabisa!!!🤓😉
😎usipotezee bana😂 umeombwa picha
Shangazeeeeeeeeee Antonnia 😊😊😊View attachment 2642832
Oh Lady boss umetingwa na kazi za klayanti.Yeahh, ila nimeishia episode 4, sina muda wakuangalia tena series mpaka next month huko.😵😵😵
Utaipenda, japo story sio yakutiiiiisha kivile.😶🌫️
😅😅😅😅 kumbe una imanyaaa🎶 Oh my baby, hope you never leave me
Leave me when I need you
Leave me when I need you the most
Am craving, yes you know am craving
Craving for you body
Yes you know I want you for long
You the somebody son
Eh sister Tiwa gom find me iiiih
Na wewe ndo unanifaa aah wengi wananitamanii ooohh 🎶
Sana aisee naimanya hii ngoma iko kwa playslist yangu, mtoto Zuhura kalalamika sana humo. Imagine mrembo anakuambia maneno kama yale mwanawane 😀😀😀😅😅😅😅 kumbe una imanyaaa
alafu awe akuombi hela , yani anakupenda ile natural tu, alafu pisi kali na kitandani inayaweza unafikiri utaanzia wapi kucheat 😅😅Sana aisee naimanya hii ngoma iko kwa playslist yangu, mtoto Zuhura kalalamika sana humo. Imagine mrembo anakuambia maneno kama yale mwanawane 😀😀😀
Na wewe ndo unanifaa aah wengi wananitamanii ooohh 😍
Hahaa lazima unawiri aisee utaona dunia yote yako, ukitoka mishe haina tena kupitia liquor stores moja kwa moja nyumbani kula mema ya nchi kama Jux yaani;alafu awe akuombi hela , yani anakipenda ila natural tu, alafu pisi kali na kitandani inayaweza unafikiri utaanzia wapi kucheat 😅😅
😅😅😅 Kuna kipindi nilikuwa naishi na pisi moja matataa sanaa . kijiweni nilipoteaga miaka miwili.. mie ndani na kwenye harakati.. sikuwa ku cheat kuna rahaaa ya kuwa na kitu cha maanaHahaa lazima unawiri aisee utaona dunia yote yako, ukitoka mishe haina tena kupitia liquor stores moja kwa moja nyumbani kula mema ya nchi kama Jux yaani;
🎶Sasa mapema
Narudi nyumbani
Vitu navikuta mezani
Siri siri vya mtaani mwenzenu (kwa sasa)🎶







😀😀😀 uliinjoi sana hiyo pisi, yaani automatic unakuta una hamu tu ya kurudi home coz mrembo hana gubu lazima wana wakusahau kwa kijiwe. Sijui kwa nini mahusiano matamu kama hayo huwa hayadumu😅😅😅 Kuna kipindi nilikuwa naishi na pisi moja matataa sanaa . kijiweni nilipoteaga miaka miwili.. mie ndani na kwenye harakati.. sikuwa ku cheat kuna rahaaa ya kuwa na kitu cha maana
😅😅 banaa shetani ana nongwaa sana . yani unafanya harakari unawaza home tu.. ile umemaliza shwaa home.. unakuta mtoto nae karudi anakuvua shati, viatu suruwali anakupigia story kuondoa uchovu.. unaandaliwa chakula upendacho then unaogaaa unamkuta kitandani na kakanga kepesiii.. .. unaanzia wapi kuwa ku cheat mzee.. 😅😅😅😅 mtoto mwenye mnono kishenzi😀😀😀 uliinjoi sana hiyo pisi, yaani automatic unakuta una hamu tu ya kurudi home coz mrembo hana gubu lazima wana wakusahau kwa kijiwe. Sijui kwa nini mahusiano matamu kama hayo huwa hayadumu
😀😀😀 kwa mwendo huo huwezi kufikiria kucheat unakuta siku za weekend mtoto anakufanyia massage ukimaliza kula msosi mtamu unamla na mpishi mwenyewe😅😅 banaa shetani ana nongwaa sana . yani unafanya harakari unawaza home tu.. ile umemaliza shwaa home.. unakuta mtoto nae karudi anakuvua shati, viatu suruwali anakupigia story kuondoa uchovu.. unaandaliwa chakula upendacho then unaogaaa unamkuta kitandani na kakanga kepesiii.. .. unaanzia wapi kuwa ku cheat mzee.. 😅😅😅😅 mtoto mwenye mnono kishenzi
Unakuta pisi kama hii ndo inakufanyia hizo mambo 😋😅😅 banaa shetani ana nongwaa sana . yani unafanya harakari unawaza home tu.. ile umemaliza shwaa home.. unakuta mtoto nae karudi anakuvua shati, viatu suruwali anakupigia story kuondoa uchovu.. unaandaliwa chakula upendacho then unaogaaa unamkuta kitandani na kakanga kepesiii.. .. unaanzia wapi kuwa ku cheat mzee.. 😅😅😅😅 mtoto mwenye mnono kishenzi
Utajirudi tu!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nikisemwa nasusa 🤣🤣
Mabosss ladies ni wale nilikua nawaibia notes mchana. Mi mpaka niache kuvaa sleepers kwenye meetings ndo ntaanza kuchukuliwa serious!🙈😁😁Oh Lady boss umetingwa na kazi za klayanti.
😁😁 huu unakaribia muda wa Jua kali, nitaianza wkend.
I'm a Puritan! A hardcore Medieval Puritan.......😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You've made my day with that flawless explanation of our political ideology😂😂😂....buuuuut, I wanted to know yours!
Jana na leoo.
Huyo aliyekuanzishia Uzi naomba apewe joining instruction ya kile chuo kule marekani chhenye jina gumu.Jana na leoo.
Nambieee mzee wa hall 5.
Kuna mpyaa ganii???