Selfika na JF: Snap it. Show it

Uku ugali mda wote
 
Reactions: 511
Nipo zangu kijijini uku mbeya galula sasa nimefika jion si ndo wenyeji wakajua nimefika nimeletewa ugal nimeona kama wananikomoa ase ugali wakula watu watatu nile mwenye dah ๐Ÿ˜‚ Lenie mshamba_hachekwi Jack Palladino Mjep leo nimepatikana
usiposhindilia ugali hii baridi ya mbeya itakuua๐Ÿ˜‚ na ulivokondeana 7ยฐC itakunyoosha
 
Ila weeeeee ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Jamani why???๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ

Pole!! Glad you are back!๐Ÿค—
Nilishangaa kutokukuona kutwa nzima!๐Ÿ˜ฎ

Karibu ule ๐ŸŸ huku unanielezea sababu ya kupigwa ban.๐Ÿ˜๐Ÿ˜
View attachment 2640290
Kiepe kinavutia ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Nilikuta ban nadhani jumapili jioni hivi ๐Ÿ˜‚
Nikiangalia kosa ni la tokea May 23.
Nikaamka nikaenda zangu kunywa cappuccino, nishushe stress.

Nikaja hapa na vazi jipya, likawa halibambi nikasepa zangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nikaenda kuomba msamaha kwa Mods
Leo wakaniachia ๐Ÿ˜๐Ÿ˜


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ