Kuna kipindi nilimtembelea mstafu flani kule kyela - ipinda. Ulikuwa msimu wa mavuni, asubuhi wanapika sufuria kwa la wali na maharage, hapo ni breakfast, lunch, dinner. Wali wa mawese, maharage mawese halafu bila chunvi dadeki๐
Shoo ikapigwa siku tatu mfululizo, ikabidi niombe ugali๐
.