Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema mwaka huu walikutana na team rahisi (vibonde)
ndo maaana wakajidai hivyo .

Arrgggh ilikuwa kero kuna jirani mmoja mpangaji mwenzangu ana makelele huyo bora walivyofungwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo

Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo

Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Yeah walikutana na slope aisee
Tp mazembe ishajichokea sasa
wasubiri mwakani .

hahaa sinaga hata muda wa kumuongelesha . ni kumpisha tu kwa njia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ