M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,857 May 28, 2023 #335,981 Tinsley said: Sema mwaka huu walikutana na team rahisi (vibonde) ndo maaana wakajidai hivyo . Arrgggh ilikuwa kero kuna jirani mmoja mpangaji mwenzangu ana makelele huyo bora walivyofungwa ๐๐ Click to expand... Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo ๐คฃ๐คฃ
Tinsley said: Sema mwaka huu walikutana na team rahisi (vibonde) ndo maaana wakajidai hivyo . Arrgggh ilikuwa kero kuna jirani mmoja mpangaji mwenzangu ana makelele huyo bora walivyofungwa ๐๐ Click to expand... Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo ๐คฃ๐คฃ
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 28, 2023 #335,982 Mzee wa kupambania said: Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo ๐คฃ๐คฃ Click to expand... Yeah walikutana na slope aisee Tp mazembe ishajichokea sasa wasubiri mwakani . hahaa sinaga hata muda wa kumuongelesha . ni kumpisha tu kwa njia ๐๐๐
Mzee wa kupambania said: Walikutana na timu zimejichokea kama ile ya Malumo wamejishukia daraja huko kwao sasa kuna timu hapo Sasa ndo zamu yako kumkera jifanye kama haujui kinachoendelea muulizie matokeo ๐คฃ๐คฃ Click to expand... Yeah walikutana na slope aisee Tp mazembe ishajichokea sasa wasubiri mwakani . hahaa sinaga hata muda wa kumuongelesha . ni kumpisha tu kwa njia ๐๐๐
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,857 May 28, 2023 #335,983 Tinsley said: Yeah walikutana na slope aisee Tp mazembe ishajichokea sasa wasubiri mwakani . Click to expand... Hakukuwa na timu mule msimu huu Mazembe limebaki jina tu. Mazembe ilikuwa miaka hiyo
Tinsley said: Yeah walikutana na slope aisee Tp mazembe ishajichokea sasa wasubiri mwakani . Click to expand... Hakukuwa na timu mule msimu huu Mazembe limebaki jina tu. Mazembe ilikuwa miaka hiyo
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 28, 2023 #335,984 Mzee wa kupambania said: Hakukuwa na timu mule msimu huu Mazembe limebaki jina tu. Mazembe ilikuwa miaka hiyo Click to expand... Sure thing hamna kitu pale , bahati ishaisha sasa ๐๐
Mzee wa kupambania said: Hakukuwa na timu mule msimu huu Mazembe limebaki jina tu. Mazembe ilikuwa miaka hiyo Click to expand... Sure thing hamna kitu pale , bahati ishaisha sasa ๐๐
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 28, 2023 #335,985
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,857 May 28, 2023 #335,986 Tinsley said: Sure thing hamna kitu pale , bahati ishaisha sasa ๐๐ Click to expand... Nakwambia kama Yanga wangekutana na timu nzuri kama hawa USM Alger wangekuwa wametolewa kitambo sana Tusiongee sana hata hivyo mashindano yenyewe ya losers
Tinsley said: Sure thing hamna kitu pale , bahati ishaisha sasa ๐๐ Click to expand... Nakwambia kama Yanga wangekutana na timu nzuri kama hawa USM Alger wangekuwa wametolewa kitambo sana Tusiongee sana hata hivyo mashindano yenyewe ya losers
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 28, 2023 #335,987 Mzee wa kupambania said: Nakwambia kama Yanga wangekutana na timu nzuri kama hawa USM Alger wangekuwa wametolewa kitambo sana Click to expand... Exactly aiseee tungekuwa wote kitaaa , hao jamaa wana uchungu na kombe
Mzee wa kupambania said: Nakwambia kama Yanga wangekutana na timu nzuri kama hawa USM Alger wangekuwa wametolewa kitambo sana Click to expand... Exactly aiseee tungekuwa wote kitaaa , hao jamaa wana uchungu na kombe
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 28, 2023 #335,988 Aaliyyah said: Sisi tunaopenda kudeka tunapenda wazee wanatuona km wajukuu zao wanatudekeza tuwee Baki na vijanawako Click to expand... kwa kweli aunt.
Aaliyyah said: Sisi tunaopenda kudeka tunapenda wazee wanatuona km wajukuu zao wanatudekeza tuwee Baki na vijanawako Click to expand... kwa kweli aunt.
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,963 May 28, 2023 #335,989
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 28, 2023 #335,990 Heaven Sent said: Miss you too kivuruge. Ukuje ukujeeeee Click to expand... Nakujaaaa mama maleziiii, na venyee leo nna vibee woiiiiiih
Heaven Sent said: Miss you too kivuruge. Ukuje ukujeeeee Click to expand... Nakujaaaa mama maleziiii, na venyee leo nna vibee woiiiiiih
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,857 May 28, 2023 #335,991 Tinsley said: Exactly aiseee tungekuwa wote kitaaa , hao jamaa wana uchungu na kombe Click to expand... Waarabu wanajua aisee yaani Yanga hata hawajamaliza kushabikia vizuri goli lao jamaa wakawafunga mabakuli yao ๐คญ
Tinsley said: Exactly aiseee tungekuwa wote kitaaa , hao jamaa wana uchungu na kombe Click to expand... Waarabu wanajua aisee yaani Yanga hata hawajamaliza kushabikia vizuri goli lao jamaa wakawafunga mabakuli yao ๐คญ
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 28, 2023 #335,992 Antonnia said: Kila la kherii wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii !! Click to expand... Poleeeeeee wee na mmekandwaaaaaaaaa. Mmelowaaaaaaaaaaaaaa!!!
Antonnia said: Kila la kherii wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii !! Click to expand... Poleeeeeee wee na mmekandwaaaaaaaaa. Mmelowaaaaaaaaaaaaaa!!!
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 28, 2023 #335,993 cocastic said: kwa kweli aunt. Click to expand... Zamani nilikuwa kama wewe nasema oooh no ๐๐๐
cocastic said: kwa kweli aunt. Click to expand... Zamani nilikuwa kama wewe nasema oooh no ๐๐๐
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 28, 2023 #335,994 Mwachiluwi said: Wapenzi leo Yanga isiposhinda nipigwe bani Ya mwezi Click to expand... Moderators YinYang Muhusika wako huyuu
Mwachiluwi said: Wapenzi leo Yanga isiposhinda nipigwe bani Ya mwezi Click to expand... Moderators YinYang Muhusika wako huyuu
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,857 May 28, 2023 #335,995 Lovelovie said: View attachment 2638395 Click to expand... Na bado tutaongea zaidi ya hapo
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 28, 2023 #335,996 Grahams said: Vumilieni, mechi mtashinda hii bao 2-1 Click to expand... Wamefungwa wao
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 May 28, 2023 #335,997 Mzee wa kupambania said: Waarabu wanajua aisee yaani Yanga hata hawajamaliza kushabikia vizuri goli lao jamaa wakawafunga mabakuli yao ๐คญ Click to expand... Iandikwe Guiness world record timu ya kwanza kutoshangilia goli ๐๐๐ .
Mzee wa kupambania said: Waarabu wanajua aisee yaani Yanga hata hawajamaliza kushabikia vizuri goli lao jamaa wakawafunga mabakuli yao ๐คญ Click to expand... Iandikwe Guiness world record timu ya kwanza kutoshangilia goli ๐๐๐ .
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Joined Aug 14, 2022 Posts 21,770 Reaction score 54,857 May 28, 2023 #335,998 Tinsley said: ุงุงููู ุงุงุง ุฎุฎุฎูู ุนุนุนุน USM ALGER ๐๐๐๐ Click to expand... ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Tinsley said: ุงุงููู ุงุงุง ุฎุฎุฎูู ุนุนุนุน USM ALGER ๐๐๐๐ Click to expand... ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,963 May 28, 2023 #335,999 Mzee wa kupambania said: Na bado tutaongea zaidi ya hapo Click to expand... Poleni sana
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 May 28, 2023 #336,000 Tinsley said: Zamani nilikuwa kama wewe nasema oooh no Click to expand... kwann jomoneee