mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,313
- 72,078
hizo ni level nyingine mwanangu 😂
hizo ni level nyingine mwanangu 😂
🤣🤣🤣uwii kale katoto ka ice creamIce cream yenyewe ukwaju, kuna milkshake ya ukwaju?
hujafikia? 😂hizo ni level nyingine mwanangu 😂
tafta hela dar-mbeya ni masaa 2 tu😂 kumbe iphone unayo bure tu....Nishachoka sifikiii tu 😂😂
ukifika huko hakuna kurudi ni hatari sana😂hujafikia? 😂
Inbox itakujiaaaa,Yaani ndiyo natoka kanisani; almanusura nigongwe na "ganagana" nilivyoona habari ya ubuyu. Nimwagie sasa





Tutakupeleka sober house 😂ukifika huko hakuna kurudi ni hatari sana😂
Aiseee 😂😂😂😂tafta hela dar-mbeya ni masaa 2 tu😂 kumbe iphone unayo bure tu....
mi nilivoona suti na miwani nikajua jamaa fogo 😂Aiseee 😂😂😂😂
Kwamba adake mwewe
Unasoma nini hapo urubani?Jana, juzi.
Km umeona kalete screenshots au kan quote.
Afu hakna sheria inakataza mtu kusema anakosoma au anako ishi, mda wowote, saa yoyote, hakuna limitations.
Tatizo lako unanifatilia sanaa afu unakutana na kitu ambacho hupendi kukiona, unabakii kuumia na kutesekaaa
Poleeeeee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sio kwamba ni suti za usabatoni 😂mi nilivoona suti na miwani nikajua jamaa fogo 😂
Ukahaba na umalayaa.Unasoma nini hapo urubani?
Sawa masomo mema.Ukahaba na umalayaa.
mkuu una eating disorder 😂mshamba_hachekwi mchana utakiwi kula sana tupunguze vitamb wanaume acheni kula dona na dagaa