Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Nimetafuta huu umbeya hapa JF sijaona
Nimependa wapwa walivyomkaanga kikatuni maana amezidi
Umeona saiv joti ka laminate tweets zao kabisa
Kila mtu yuko upande wa herode hadi huyo coco
Ila nimefurahi sana wacha apikwe maana aliona yeye ni elon musk wa bongo shwaiiinnnn
Yaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.

Linadharau watu kumbe hata vyeti vya fomu foo alifojii,
Yaan kisa ana followers 1mil bas anajiona twitter ndo yakeee, harudii tenaaa mbwaa yuleee.

 
Wacha wamkaange
Amezidiiiiiiii
Wanaona wao ndo wapendanao bongo nzima
Jamaniiii dear twitter itulie sasa, khaaaaah
Mfalme herodee alimuadhibu Yesu, ashindwe kumuadhibuu Dengee wee ulisikiaaa wapiiii???
 

Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake

We dont want peace
Vayolens activated
Vawulenceeeee
Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.

Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii
 
Yaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.

Linadharau watu kumbe hata vyeti vya fomu foo alifojii,
Yaan kisa ana followers 1mil bas anajiona twitter ndo yakeee, harudii tenaaa mbwaa yuleee.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Vyetu vya form four mmpata wapi jamanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Watu wanakaangwa ila huyu mmemchemsha wallahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu bado anajimwambafy eti yuko kwnge advertisement ya sijui nape nauye
Ila watu hawaelewi wanaruka nae mpaka alete balance yake ya bank

AkomeeπŸ˜’πŸ˜’
 
Vawulenceeeee
Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.

Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii
Rudi tuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hujibu kwan shingap bana

Kuna mtu kasema tofauti ya kikatuni na dr farida hamnaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kikatuni anajifanya hajali anapost vibia ila watu hawaelewi
Hadi joti kampikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚naomba mumuite majizo aingilie kati hili swala
 
Vawulenceeeee
Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.

Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii
hehehe pole dear
 

Vyetu vya form four mmpata wapi jaman
Watu wanakaangwa ila huyu mmemchemsha wallah
Halafu bado anajimwambafy eti yuko kwnge advertisement ya sijui nape nauye
Ila watu hawaelewi wanaruka nae mpaka alete balance yake ya bank

Akomee
wapwaa tumesemaa hatumuelewiii hadi aletee vyeti na bank statements.

Mbwaa yuleeee mbna atahama twitter wee subiri, hii week tunaye na hatumuachiiii
 
K
Friday is for vayolenceeeeee.

Na Yule jamaaa mwenye pua wamemkaaanga pia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda alisema yuko shamba hana muda wa kubishanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtu akamwambia punguza poa hizo unatumia hewa nyingiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ila wamezidiiiii aiseeee
Kisa tuna followers 20 bas tunaonekana hatuna maanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom