Ramsy Dalai Lama
Senior Member
- Apr 5, 2021
- 168
- 567
Lini, wapi....You tell me....pesa tutakaa kwenye meza tutakubaliana hamna shida mimi na wewe hatushidwani π si unajua kuna JF family discountπ π π π π
Lini, wapi na sh. ngapi??π€
Lini, wapi....You tell me....pesa tutakaa kwenye meza tutakubaliana hamna shida mimi na wewe hatushidwani π si unajua kuna JF family discountπ π π π π
Lini, wapi na sh. ngapi??π€
Utakuwa ndo wewe si bure
Hizi mambo za kujimwambafai mitandaoni sio nzuri ndo yaliyomwaibisha denge




Mke wa herodee ni kisuuu, afu km mnyarwandaa Fulani, mie kile kishepu na jichooo awww.
Herodee ana balaaaa









Yaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.
Nimetafuta huu umbeya hapa JF sijaona
Nimependa wapwa walivyomkaanga kikatuni maana amezidi
Umeona saiv joti ka laminate tweets zao kabisa
Kila mtu yuko upande wa herode hadi huyo coco
Ila nimefurahi sana wacha apikwe maana aliona yeye ni elon musk wa bongo shwaiiinnnn












Ananiogopa kama ukoma nitawatwanga wotemshamba_hachekwi si unaona dogo anajipiga majungu njoo umpige makofi
Jamaniiii dearWacha wamkaange
Amezidiiiiiiii
Wanaona wao ndo wapendanao bongo nzima




twitter itulie sasa, khaaaaah





Sema tuπkuna kitu nataka kusema ila ntaonekana nina tabia mbaya ππ
Nasimama na mke WA kikatuni.Mke wa herodee ni kisuuu, afu km mnyarwandaa Fulani, mie kile kishepu na jichooo awww.
Herodee ana balaaaa
Vawulenceeeee
Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake
We dont want peace
Vayolens activated

















kikatuni kazidiwa hadi Mke sasa ataambia nn watuu??? WoiiiiihππππYaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.
Linadharau watu kumbe hata vyeti vya fomu foo alifojii,
Yaan kisa ana followers 1mil bas anajiona twitter ndo yakeee, harudii tenaaa mbwaa yuleee.
![]()
Friday is for vayolenceeeeee.
Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake
We dont want peace
Vayolens activated
Salary yake ina digiti Saba.kikatuni kazidiwa hadi Mke sasa ataambia nn watuu??? Woiiiiih
Rudi tuuππππVawulenceeeee
Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.
Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii![]()
hehehe pole dearVawulenceeeee
Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.
Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii![]()
Vyetu vya form four mmpata wapi jaman
Watu wanakaangwa ila huyu mmemchemsha wallah
Halafu bado anajimwambafy eti yuko kwnge advertisement ya sijui nape nauye
Ila watu hawaelewi wanaruka nae mpaka alete balance yake ya bank
Akomee![]()




wapwaa tumesemaa hatumuelewiii hadi aletee vyeti na bank statements.






shut up and bend over πSema tuπ
Kuna muda alisema yuko shamba hana muda wa kubishanaπππππFriday is for vayolenceeeeee.
Na Yule jamaaa mwenye pua wamemkaaanga pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msameheni wazeee.wapwaa tumesemaa hatumuelewiii hadi aletee vyeti na bank statements.
Mbwaa yuleeee mbna atahama twitter wee subiri, hii week tunaye na hatumuachiiii
![]()