Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Rudi tuu
Hujibu kwan shingap bana

Kuna mtu kasema tofauti ya kikatuni na dr farida hamna
Kikatuni anajifanya hajali anapost vibia ila watu hawaelewi
Hadi joti kampikanaomba mumuite majizo aingilie kati hili swala
jamaniii nawashwaaaa kumkaangaaaa yulee mbwaaa, yaan natamanii maneno mapyaaa yanijie kichwaniii

Mbwaa yuleee alininyalii eti mie twitter nimemkuta na nitamuachaaa, nyokoooo zake


Halina hata vyetiiii, hivi majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetiii???
 
wapwaa tumesemaa hatumuelewiii hadi aletee vyeti na bank statements.

Mbwaa yuleeee mbna atahama twitter wee subiri, hii week tunaye na hatumuachiiii
Kuna kale kadada kanaitwa Ilham nako wamekachanganya😂😂😂😂
Wanasema pisi yake kikatuni😆😆😆

Sasa akihama twita itakuaje maana hakuna anapojulikana zaidi ya huko
Sio ajabu yenywe kibarua kwa majizo kikaota nyasi😂😂😂😂
Arudi zake kwnye msharaha wa 600k
Nahis na coco atamkimbia😂😂😂😂
 
jamaniii nawashwaaaa kumkaangaaaa yulee mbwaaa, yaan natamanii maneno mapyaaa yanijie kichwaniii

Mbwaa yuleee alininyalii eti mie twitter nimemkuta na nitamuachaaa, nyokoooo zake


Halina hata vyetiiii, hivi majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetiii???
Ana Cherti bwana si alikuwa headquarter za equity afisa masoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K

Kuna muda alisema yuko shamba hana muda wa kubishana
Mtu akamwambia punguza poa hizo unatumia hewa nyingi
Ila wamezidiiiii aiseeee
Kisa tuna followers 20 bas tunaonekana hatuna maana
Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.

Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa

 
jamaniii nawashwaaaa kumkaangaaaa yulee mbwaaa, yaan natamanii maneno mapyaaa yanijie kichwaniii

Mbwaa yuleee alininyalii eti mie twitter nimemkuta na nitamuachaaa, nyokoooo zake


Halina hata vyetiiii, hivi majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetiii???
😂😂😂😂😂
Kumbe unabishana hadi na watu wakubwa huko twitani
Sithubutu mm ni kusoma ukaangwaji😂

Em rudi bana tupalilie vayolens
 
Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.

Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa

Amekua mtetezi wetu😂😂😂😂
Afu hana hata makuu, wala haringi

Umekaona kale kanaitwa sununu sijui skununu😂😂😂
Kametweep kua upande wa kikatuni😂😂😂watu wakamwambia baada ya kusema atakugonga ndo unaanza kujipendekeza
 

Kumbe unabishana hadi na watu wakubwa huko twitani
Sithubutu mm ni kusoma ukaangwaji

Em rudi bana tupalilie vayolens
Nimeweka kwenye frame
20230527_231430.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom