Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,543
- 8,818
Unataka uje ututembelee na jirani yangu mkuu!Mdogo wangu Tinsley yupo vyedi kila idara.
Njoo unichukue bwana. Unioneshe chimbo jipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka uje ututembelee na jirani yangu mkuu!Mdogo wangu Tinsley yupo vyedi kila idara.
Njoo unichukue bwana. Unioneshe chimbo jipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uongoo? Mke wa herodee kisuu balaaaaa.Msameheni wazeee.
Ila lakumfananisha mke wake na wa herode dah mmeshindikana
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii nawashwaaaa kumkaangaaaa yulee mbwaaa, yaan natamanii maneno mapyaaa yanijie kichwaniii
Mbwaa yuleee alininyalii eti mie twitter nimemkuta na nitamuachaaa, nyokoooo zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halina hata vyetiiii, hivi majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amekua mtetezi wetu😂😂😂😂Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.
Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeweka kwenye frame[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unabishana hadi na watu wakubwa huko twitani
Sithubutu mm ni kusoma ukaangwaji[emoji23]
Em rudi bana tupalilie vayolens
Naomba madenge ampe hako katick boss wetu, mfalme alie juu sana herode😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.
Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I miss you more Chino... nimekamatika huku. Nimeshikwa nikashikamana 😂😂😂😂Mama tentemete Bantu Lady miss you.
Tufikirie basi na sisi Wala kwa macho!!I miss you more Chino... nimekamatika huku. Nimeshikwa nikashikamana 😂😂😂😂
Si ndiwooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani twitter hii week sio ya kupitwaaaa woiiiiihAmekua mtetezi wetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu hana hata makuu, wala haringi
Umekaona kale kanaitwa sununu sijui skununu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kametweep kua upande wa kikatuni[emoji23][emoji23][emoji23]watu wakamwambia baada ya kusema atakugonga ndo unaanza kujipendekeza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemuuliza majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetii, katia likes hajajibu badooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unabishana hadi na watu wakubwa huko twitani
Sithubutu mm ni kusoma ukaangwaji[emoji23]
Em rudi bana tupalilie vayolens
Wallah kibarua kitaota nyasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemuuliza majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetii, katia likes hajajibu badooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]