sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Naomba madenge ampe hako katick boss wetu, mfalme alie juu sana herode😂😂😂😂
Hance machembaaa naee ule mpuaa wake linajionagaa linajua kila kituu.
Watu wame wakaangaa, jamaniii Herode katuamulia ugomviii kati ya watesi na wapwaaaaa
![]()




I miss you more Chino... nimekamatika huku. Nimeshikwa nikashikamana 😂😂😂😂Mama tentemete Bantu Lady miss you.
Tufikirie basi na sisi Wala kwa macho!!I miss you more Chino... nimekamatika huku. Nimeshikwa nikashikamana 😂😂😂😂
Amekua mtetezi wetu
Afu hana hata makuu, wala haringi
Umekaona kale kanaitwa sununu sijui skununu
Kametweep kua upande wa kikatuniwatu wakamwambia baada ya kusema atakugonga ndo unaanza kujipendekeza







jamani twitter hii week sio ya kupitwaaaa woiiiiih
Kumbe unabishana hadi na watu wakubwa huko twitani
Sithubutu mm ni kusoma ukaangwaji
Em rudi bana tupalilie vayolens




nimemuuliza majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetii, katia likes hajajibu badooo






Wallah kibarua kitaota nyasinimemuuliza majizzo ana ajiri vipi mtu hana vyetii, katia likes hajajibu badooo
![]()
Hii hakuna kulala wallah😆😆😆😆😆wabongo nawagawa bureee.
Tayari mke wa Herode kaingilia kati kutupambania wapwaaa.
Mbna kivumbiiiiii leo.View attachment 2637375
Mbwa yuleeee mbna atakomaaa,Wallah kibarua kitaota nyasi
Afu kama utani utani hivi hivi unashangaa kazi hana
Na vile vimeno sijui ataving’oa![]()












Wawekee space nimchambeee kikatuniii hadi sautii ikateeeHii hakuna kulala wallah
Nihamie huko nkajionee
Waeke space bana kama ile ya salome
Tushachoka sasa tunataka kwa maneno








Mshahara upi bwanaMbwa yuleeee mbna atakomaaa,
Watu wanamuambia majizzo kesho huko EFM jogging, aweke wazi mshahara wa kikatuni, maana ana dharau sana watuu.
Watu wako serious jomoneeeee![]()
ah best mpaka hapo nimepata id yakoWawekee space nimchambeee kikatuniii hadi sautii ikateee
Navyomtamaniii huyui mbwaaaah aseeeeh.
Yaan achaa tyuuh
😆😆😆😆😆kwan kaka kikatuni kakufanyaWawekee space nimchambeee kikatuniii hadi sautii ikateee
Navyomtamaniii huyui mbwaaaah aseeeeh.
Yaan achaa tyuuh