Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo nawagawa bureee.
Tayari mke wa Herode kaingilia kati kutupambania wapwaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbna kivumbiiiiii leo.
Screenshot_20230527-232443_1685219146275.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo nawagawa bureee.
Tayari mke wa Herode kaingilia kati kutupambania wapwaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbna kivumbiiiiii leo.View attachment 2637375
Hii hakuna kulala wallah😆😆😆😆😆
Nihamie huko nkajionee
Waeke space bana kama ile ya salome😂😂😂😂

Tushachoka sasa tunataka kwa maneno
 
Wallah kibarua kitaota nyasi
Afu kama utani utani hivi hivi unashangaa kazi hana
Na vile vimeno sijui ataving’oa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbwa yuleeee mbna atakomaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanamuambia majizzo kesho huko EFM jogging, aweke wazi mshahara wa kikatuni, maana ana dharau sana watuu.

Watu wako serious jomoneeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii hakuna kulala wallah[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nihamie huko nkajionee
Waeke space bana kama ile ya salome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tushachoka sasa tunataka kwa maneno
Wawekee space nimchambeee kikatuniii hadi sautii ikateee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Navyomtamaniii huyui mbwaaaah aseeeeh.
Yaan achaa tyuuh
 
Mbwa yuleeee mbna atakomaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanamuambia majizzo kesho huko EFM jogging, aweke wazi mshahara wa kikatuni, maana ana dharau sana watuu.

Watu wako serious jomoneeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshahara upi bwana
Uskute hata anakopwa😂😂😂😂
Kilichowakimbiza wale wengine kwenda wasafi ni nini😂😂😂
Tangu muda EFM inalalamikiwa hailipi mishahara kwa muda
 
Wawekee space nimchambeee kikatuniii hadi sautii ikateee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Navyomtamaniii huyui mbwaaaah aseeeeh.
Yaan achaa tyuuh
😆😆😆😆😆kwan kaka kikatuni kakufanya
Maana una hasira zaidi ya herode mwnywe😂😂😂😂ila mbona mlikua mnamsifia fresh alivyopata kazi EFM mkasema ni mtu wa kuigwa😂😂😂😂😂imekuaje jaman
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kwan kaka kikatuni kakufanya
Maana una hasira zaidi ya herode mwnywe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila mbona mlikua mnamsifia fresh alivyopata kazi EFM mkasema ni mtu wa kuigwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imekuaje jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Usiimini binadamu ndugu yangu

Hususani Sisi paid slaves

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshahara upi bwana
Uskute hata anakopwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kilichowakimbiza wale wengine kwenda wasafi ni nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Tangu muda EFM inalalamikiwa hailipi mishahara kwa muda
Shangaa nawee dear hapoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekua analipwa vizuri, wenzake wangekimbiaaa? Atuachee kwani bhanaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akae kwa password tyuuh.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kwan kaka kikatuni kakufanya
Maana una hasira zaidi ya herode mwnywe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila mbona mlikua mnamsifia fresh alivyopata kazi EFM mkasema ni mtu wa kuigwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imekuaje jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjawahi kuwa upandee wa kikatuniii dear hata siku 1, niwe wazii yulee mbwaaa namchukiaaaa alikua anafanyaa twitter niione km kituo flani hiviii.

Yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna janaaa nililala rohoo kwatuuuu.
 
Back
Top Bottom