mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,302
- 72,049
umeanza mambo yako 😂Astaghfirullah
umeanza mambo yako 😂Astaghfirullah
TwendeWatu wameshaenda club?
Shemeji mwenyewe 😅Shemeji jamani
😅😅😅😅😅Dr Lizzy nipe kazi ya ku activate Windows ya laptop yako please...I won't charge you pesa nyingi 😊
Acha shombo zako wewe kitambia naawaachia wakina Gilykula vizuri bruh unakonda
Wew nawe ulikuwa una angalia nini mpaka ukaona kot sijanyoosha?Udugu, mbona koti hujanyoosha
nimeona unakula ka-sausage kamoja eti ndo cha usiku 😂Acha shombo zako wewe kitambia naawaachia wakina Gily
11 pro max 😂😂😂macho yakatua kwenye kotiWew nawe ulikuwa una angalia nini mpaka ukaona kot sijanyoosha?
😂😂😂 ww huwezinimeona unakula ka-sausage kamoja eti ndo cha usiku 😂
Anayumbanimeona unakula ka-sausage kamoja eti ndo cha usiku 😂
Nilinunua iyo simu ili usiku nisile tu11 pro max 😂😂😂macho yakatua kwenye koti
Sasa sinnitaangukaAnayumba
Kisa?Nilinunua iyo simu ili usiku nisile tu
Sawa chako kina pungasese na fangashaha kitambi chako kina minyoo
Leo mbna kakomaaa, nilivyo mpana nkamuungia coco DM acha nimchambeee





Kisa?
Sawa chako kina pungasese na fangas
niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.
Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.
Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.
pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii
![]()











Mke wa herodee ni kisuuu, afu km mnyarwandaa Fulani, mie kile kishepu na jichooo awww.Wanazengo wamevuka mbali wanasema kuwa herode kamzidi Hadi mke
Ila wapwaa mnakanda watu balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app