Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko winja winjaaa huko twitter, jamani umemuonaa mke wa herode?? Ni kisu balaaaaa.

Nime mdm coco kumchambaaaaa, leo hana hamu
Anavyojishaua na kikatuni wakee dadekiiiii.

Yaan kikatuni kazimwa hana hamu, tangu jana hayuko online, kisa kuwa EFM eti anatambia watu ana mshahara wa 7digits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Herodee kamuungia juu kwa juu, aoneshe bank statements ya 3months, na vyeti vya O level.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambeeee,. Wapwaa na majobless tunamkaanga kikatuni na best yake Mapua. Woiiiiiiiiiiii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimetafuta huu umbeya hapa JF sijaona
Nimependa wapwa walivyomkaanga kikatuni maana amezidi[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona saiv joti ka laminate tweets zao kabisa
Kila mtu yuko upande wa herode hadi huyo coco[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila nimefurahi sana wacha apikwe maana aliona yeye ni elon musk wa bongo shwaiiinnnn
 
Mke wa herodee ni kisuuu, afu km mnyarwandaa Fulani, mie kile kishepu na jichooo awww.
Herodee ana balaaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake[emoji38]

We dont want peace[emoji23][emoji23][emoji23]
Vayolens activated
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimetafuta huu umbeya hapa JF sijaona
Nimependa wapwa walivyomkaanga kikatuni maana amezidi[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona saiv joti ka laminate tweets zao kabisa
Kila mtu yuko upande wa herode hadi huyo coco[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila nimefurahi sana wacha apikwe maana aliona yeye ni elon musk wa bongo shwaiiinnnn
Yaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.

Linadharau watu kumbe hata vyeti vya fomu foo alifojii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kisa ana followers 1mil bas anajiona twitter ndo yakeee, harudii tenaaa mbwaa yuleee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wacha wamkaange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amezidiiiiiiii
Wanaona wao ndo wapendanao bongo nzima
Jamaniiii dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] twitter itulie sasa, khaaaaah
Mfalme herodee alimuadhibu Yesu, ashindwe kumuadhibuu Dengee wee ulisikiaaa wapiiii???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake[emoji38]

We dont want peace[emoji23][emoji23][emoji23]
Vayolens activated
Vawulenceeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekimbiaa twitter kuna majamaa yamenijia DM yanasema mie ni cocastic wa JF, sasa kuepuka uchoreshooo nimelog out.

Tatizo writing zangu sijui kuziweka tofautii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan huko twitter ni balaaaa, yule mbwaa aliwahi kuninyaliiii, mbna leoo niko winjaaa winjaa kusagiaa kunguniii.

Linadharau watu kumbe hata vyeti vya fomu foo alifojii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kisa ana followers 1mil bas anajiona twitter ndo yakeee, harudii tenaaa mbwaa yuleee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂
Vyetu vya form four mmpata wapi jaman😂😂😂😂😂
Watu wanakaangwa ila huyu mmemchemsha wallah😂😂😂
Halafu bado anajimwambafy eti yuko kwnge advertisement ya sijui nape nauye
Ila watu hawaelewi wanaruka nae mpaka alete balance yake ya bank

Akomee😒😒
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wapwa sio watu wazuri
Mbona walkua wanamsifia frenchfries na komwe lake[emoji38]

We dont want peace[emoji23][emoji23][emoji23]
Vayolens activated
Friday is for vayolenceeeeee.

Na Yule jamaaa mwenye pua wamemkaaanga pia.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom