Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Ukila mihogo hushibi?Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??😂
Ukila mihogo hushibi?Depal na Peterrabbit hivi mnanichukuliaje kwa mfano??😂
Nina follower 87kUsije ukanipa ya mtu mwingine tu 🤔
Salamu nyingi zimfikie 😍 ngoja nikuje mjini nimuibe wkend moja.Anapendeka kirahisi sana huyu mBebé jamani!☺️🤩
Sikia figo76,Na atatoa ole wake asitoe jaman tutamuita dume zembee
Hahaha coca mpana sana wewe
Muoneeni huruma inatosha maana sio kwa spana zile mnazompa




yulee hii week yote tunayeee, na hatumuachiii, tunataka twitter iwe ya usawaaa.




ThubutuuuuuAahahahaa ila najua mimi na wewe hatugomban utanitajia zote nitakufollow





nashiba, ila sio kwamba napenda😅Ukila mihogo hushibi?
Cna, ula vyeti vya O level ninavyoo




Jamaa alizidi,, akapikwa akaivaCna, ula vyeti vya O level ninavyoo![]()

Linunue ulifiche!!!😁😁Hili ua jamani
Ua hili litanipofusha macho
Nipitishie hapa Basihaya
Mtaenda kutembea wapi....??😀Salamu nyingi zimfikie 😍 ngoja nikuje mjini nimuibe wkend moja.
Wanazengo wamevuka mbali wanasema kuwa herode kamzidi Hadi mkeWee Denge alizidi mnooo, kuna siku tulibishanaa sanaa twitter kuhusu suala fulanii hivi, nilimuambia ukwelii kuwa iko sikuu utakaangwaa wee na hutaamini.
Jana Mfalme herodee kampa mapigo makaliii
![]()
Sijambo vip hali
Habari ChiefSelfika na #halotel#