Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,275
- 108,279
Okay, maana kuna 2 zipo humu sijazifuta bado...ila ni za viatu challengeYoyote ambayo wewe upo![]()
Okay, maana kuna 2 zipo humu sijazifuta bado...ila ni za viatu challengeYoyote ambayo wewe upo![]()
Anasauti fulani hv ya bezi.. basi mm napenda mwanamke mwenye sauti hyo ya bezi!Yeah hata mie nampenda jinsi anavyoongea na anavyoigiza,, nimemkubali sana kwenye Avengers zote..
Kumbe yalikuwa n mashauzi? Me sikujua asee 😂😂😂Najishauwa unikaribishe afu unaniambia ntakabwa acha uchoyo,ulishawahi kuona wapi mbwa koko kakabwa na mfupa.
Fanya ukujeeMiaka mingi sana sijasogea kipande hiyo, amost 18/19yrs...
Hiyo main building naona bado ipo kama zamani tu...
Siku moja nitasogea hiyo side ya dunia, nimemiss sana maisha ya Chuga/Moshi/Marangu na Mwanga (hizi zilikuwa ndio vijiwe zngu nikiwa nafanyabmaisha huko kaskazini)
Kinapoa ujueUnibashkie mimi
@sakayo yupo bize anatafuta mkate.
Heloooo...You're too smarter than your age.
I love you.
OhhhhSio dada uyo![]()
GoodSijambo mimi jamani
Hii ni yenu sote. Sio ya kukosaSio kwa bahati hii![]()
Nitakusaidia kusoma mpenziNitaaminije?
Naunga mkonyo juhudi zako mkuuu.Wadada muwe mnaweka ata tupaja basiView attachment 1272363
Hujambo....Nitaaminije?