National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
kakitanda kadogo kanatosha tulala mzungu wa nne tuhuko lodge analipia mwenyewe , natoa wapi 40k usiku huu mie .
kitanda kidogo sana kile hakitoshi aisee .
kakitanda kadogo kanatosha tulala mzungu wa nne tuhuko lodge analipia mwenyewe , natoa wapi 40k usiku huu mie .
kitanda kidogo sana kile hakitoshi aisee .
Pole sana dear , next time chukua wa kiume mnaweza negotiate kwa maneno machacheLeo kimenipata Tinsley nimerequest ride. Recommended fare 5500. Nikaweka 6000.
Davoo kaja ananambia nimpe 7000😂😂
Namuuliza kwanini aliaccept fare niliyoweka?
Anaanza kuniita shoga ake😂😂
Sijamkazia sbb ni mdada
sio fair aiseeeeUnazani flight mode waliweka kama pambo? Tinsley National Anthem
Hakuna sehemu ya kutandika mkeka?huko lodge analipia mwenyewe , natoa wapi 40k usiku huu mie .
kitanda kidogo sana kile hakitoshi aisee .
😂😂😂Nitazima simu alafu yeye mzungu hana hisia mbaya mbayaaa 🤣🤣🤣 maana hakunikuta single nae alimyanganya mtu
mkeka ninao tena mkubwa .Hakuna sehemu ya kutandika mkeka?
😂😂 Hata wa kiume wanataka hela, maisha magumu sanaPole sana dear , next time chukua wa kiume mnaweza negotiate kwa maneno machache
na kamuita wa nn huyo shoga yake duh
hanaaa taaabu kabisaa, kikubwa heshima tu😂😂😂
huyo dada mzungu kweli...
kesho anakupokea kwa furaha kabisa ????
wa kiume rahisi kudeal nao😂😂 Hata wa kiume wanataka hela, maisha magumu sana
hongera hapo umepata mke mwemahanaaa taaabu kabisaa, kikubwa heshima tu
anaogopa bure tu huyo 😅😅Kaka National Anthem hama shida hapo mnalala safi kabisa. 😂😂
naheshimu waume za watuKaka National Anthem hama shida hapo mnalala safi kabisa. 😂😂
ah wapo bhana , ni una bargain naye chap ..Hao wa zamani enzi za jk, wa leo hii hatabuwe na sauti ya kinanda, wanataka hela. Maana anajua akilegeza akachukua namba tu ukishuka unaanza gesi imeisha home😅😅
waache wale wengineChamtu huliwa na mtu
Ongeza nyamaMdudu iringa bei cheeeView attachment 2635889
Inatosha bossOngeza nyama
hii wiki sirushi roho nataka nitoboe 90 days sober😂 ila Depal nimeona ataniwakilisha vema....@mshamba_hachekwi ndo upo kwa preparations