Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255



Ndo maana Jack hakuachi



Unaitwa na babe wako chumbani ukampee vitu vya kuondoa uchovu baada ya misuko suko yake ya kutwa nzima
Ndo maana Jack hakuachi

hiyo ni yoghurt ama😂
Nimejua siri yako ya kung'ang'aniwaUnaitwa na babe wako chumbani ukampee vitu vya kuondoa uchovu baada ya misuko suko yake ya kutwa nzima
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app

Ndiyo na tu 🥜hiyo ni yoghurt ama😂
unakijua kitambi au unakiskia??😂Ndiyo na tu 🥜
Dada mshepu na vikuku
Raha ya msosi mboga ziwe nyingi