Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
Nimetekwa na Half american na mpwa wake mshamba_hachekwi kisa nipeta lakinnneUtekwe na nani kijana mdogo?![]()
Nimetekwa na Half american na mpwa wake mshamba_hachekwi kisa nipeta lakinnneUtekwe na nani kijana mdogo?![]()
ndo maana sitaki watoto😅 dunia ina mambo mengi ya kutishaYeah kweli , suicidal rates kubwa ni youth eeh , hawa ndo victims wa kubwa .
nikawa nagoogle njia za suicide , nilichoka sana .
laki 4 nayo hela??Nimetekwa na Half american na mpwa wake mshamba_hachekwi kisa nipeta lakinnne
Mbona mmeniteka amtaki kuniachialaki 4 nayo hela??
Oya kipo sokoni? Huwa navipenda sana vikiwa kitten. Ila wanasema paka haishi kwa msela 😅
tunataka tukuhamishe uache kukaa kwa shemejiMbona mmeniteka amtaki kuniachia
Acha nishibe kwaza bas mbona unanisimanga sana Gily shem wananifukuza et nitoke kwa shemejitunataka tukuhamishe uache kukaa kwa shemeji
siku ukimpa demu mimba , unatoa ???ndo maana sitaki watoto😅 dunia ina mambo mengi ya kutisha
Dearest hawa madogo wako kwenye kataa ndoa. Wahuni sana alafu bado mi teenegers🤣 akimpa demu mimba baba yake azaleasiku ukimpa demu mimba , unatoa ???
nina protocol zangu zinazoniepushia mimba kwa wadada😂 ila nikiteleza nitakubali tusiku ukimpa demu mimba , unatoa ???
Ahahaha kwashemeji kuna choo ndani ya chumba changuhaha hapa leo hakikisha unakaa karibu na choo maana utatoa urojo mmoja wa moto Sio kwa kula mapapai🤣
Hebu share nami njia mbili konki za suicide kwanzaYeah kweli , suicidal rates kubwa ni youth eeh , hawa ndo victims wa kubwa .
nikawa nagoogle njia za suicide , nilichoka sana .
unawamalizia bajeti unakula kama mchwaAcha nishibe kwaza bas mbona unanisimanga sana Gily shem wananifukuza et nitoke kwa shemeji
dogo hizo mimba haziingii tu hivi hivi 😀 chakula chenyew ndizi mbivu na maharage ya chuo. Utapata mtoto kiazi🤣nina protocol zangu zinazoniepushia mimba kwa wadada😂 ila nikiteleza nitakubali tu
dharau 😂Kwanza wazazi wake watashangaa ana uwezo wa kumpa demu mimba😀
weh kumbe 😂😂😂Dearest hawa madogo wako kwenye kataa ndoa. Wahuni sana alafu bado mi teenegers🤣 akimpa demu mimba baba yake azalea
Kwanza wazazi wake watashangaa ana uwezo wa kumpa demu mimba😀
Legend....✊🏿
unabishana na science 🤣dharau 😂