Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Mgeni kaa pembeni kwanza. Tukimaliza mazungumzo tutakuita!🤓Kumbe kilikuwa dili?
Mgeni kaa pembeni kwanza. Tukimaliza mazungumzo tutakuita!🤓Kumbe kilikuwa dili?
Sawa, Samahani sana
Asante mkuu kwa upendo wako. Bado naendelea kujifunza. Barikiwa rafikiUsiogope watu wanapenda utani tu yaani wana socialize tu. Sio kila kitu ni kweli
Ukute unamliwaza mwenyeji kuliko hata wewe!Usiogope watu wanapenda utani tu yaani wana socialize tu. Sio kila kitu ni kweli
🤣🤣🤣😅Welcom lunch
Acha umbeawewe wakiume 🤣🤣🤣😅
nimecheka sana 😂@Nyumbu akee 😁 ??
Hivi wewe vyakula unavyokula huwa unashiba?Acha umbea
Hutaki auhaha wewe Huyo uleweee!
Nashiba na kuacha kabisa mda mwingineHivi wewe vyakula unavyokula huwa unashiba?
Kwa misosi ile hauwezi kwenda round 3 😅Nashiba na kuacha kabisa mda mwingine
Ahna si nilisahau uzee huu🤣🤣Mie nina mambo yangu kibao yananichanganya akili kwakichwa foleni nazo zinichanganyee aseee haipigo hiooo!
Wee mbona asubuhi nilikutag kabisa ni story ya mauzauzaa anayofanyiwa mwalimu soka huko kijiji cha msisi wa msisiri!
hahahaha nasubiria iyo siku nijiokotee zangu dodo tuHutaki au
Ndivyo mnavyo jidanganyaKwa misosi ile hauwezi kwenda round 3 😅
mtoto hapa hachomoiAu sijakuelewa unasubiri picha bila imoji kwa hamu. Sasa hapo kwa hamu ndio wapi ??? 😆
Shauri yako utakuja kufia kifuaniNdivyo mnavyo jidanganya
Si utanizika wewe short fat😂Shauri yako utakuja kufia kifuani