Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
We si huwa unajificha shos😆ungenistuaa sasa nawee.
Nimeona uko kwa dala dala.
We si huwa unajificha shos😆ungenistuaa sasa nawee.
Nimeona uko kwa dala dala.
Nipeleke shopping 🛍😌Tunafanyaje sasa?
Haina shida, Mlimani City?Nipeleke shopping 🛍😌
Hata Ilala/Kariakoo sio mbaya!😁Haina shida, Mlimani City?
We si huwa unajificha shos![]()



nijifichee wapiii, nikiwa maeneo hayo nakua winja winjaNi wewe tu, we si ndie unachora ramani.Hata Ilala/Kariakoo sio mbaya!😁
Sandwich Biscuit..
nzuri kwa afya.... 😂View attachment 2631881
Wali mboga mboga..
Mkuu ulifikiria nini kujiita mshamba_hachekwinzuri kwa afya.... 😂
kwasababu mimi ni kijana mdogo bado siyajui maishaMkuu ulifikiria nini kujiita mshamba_hachekwi
Hapana we mbona unaonekana kama Mod wa JF, unatu enjoykwasababu mimi ni kijana mdogo bado siyajui maisha
wewe amini tu.... siwezi ku-prove kwamba mimi sio modHapana we mbona unaonekana kama Mod wa JF, unatu enjoy
wewe amini tu.... siwezi ku-prove kwamba mimi sio mod
kwani ni uongo??😂 no one is above the mods
Sawa.kwani ni uongo??😂 no one is above the mods
unaweza kunifafanulia jinsi ambavyo unatumia proxy server umehost mwenyewe.... niliona ulisema unapata unlimited internetSawa.
Ndio natumia proxy server, unataka nikiufafanulie upande upi?unaweza kunifafanulia jinsi ambavyo unatumia proxy server umehost mwenyewe.... niliona ulisema unapata unlimited internet
mkuu kiukweli sijui kitu kwahiyo ingependeza unifafanulie kila kitu, lakini sasa muda umeenda nataka nilale..... tuendelee kesho kama hutojali...Ndio natumia proxy server, unataka nikiufafanulie upande upi?