mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,798
wewe amini tu.... siwezi ku-prove kwamba mimi sio modHapana we mbona unaonekana kama Mod wa JF, unatu enjoy
wewe amini tu.... siwezi ku-prove kwamba mimi sio modHapana we mbona unaonekana kama Mod wa JF, unatu enjoy
wewe amini tu.... siwezi ku-prove kwamba mimi sio mod
kwani ni uongo??😂 no one is above the mods
Sawa.kwani ni uongo??😂 no one is above the mods
unaweza kunifafanulia jinsi ambavyo unatumia proxy server umehost mwenyewe.... niliona ulisema unapata unlimited internetSawa.
Ndio natumia proxy server, unataka nikiufafanulie upande upi?unaweza kunifafanulia jinsi ambavyo unatumia proxy server umehost mwenyewe.... niliona ulisema unapata unlimited internet
mkuu kiukweli sijui kitu kwahiyo ingependeza unifafanulie kila kitu, lakini sasa muda umeenda nataka nilale..... tuendelee kesho kama hutojali...Ndio natumia proxy server, unataka nikiufafanulie upande upi?
Makampuni ya simu yanaruhusu free internet kwa internal members na staff, kuna assigned IP wanazotumia.mkuu kiukweli sijui kitu kwahiyo ingependeza unifafanulie kila kitu, lakini sasa muda umeenda nataka nilale..... tuendelee kesho kama hutojali...
😂😂😂 kumbe mbuzi wa Roman ni favoo ya wengi.Depal nimebadilisha gia angani baada ya kuona mboga pendwa.🫣🙈View attachment 2631730
🍝 zako kesho!!!
Umekula maharage ya wapi wewe??
Atakuakanywa bangi huyuMjep kwani huyu mdogo wako anatumia kilevi gani??,😳
Yakogoma kaka 😂Umekula maharage ya wapi wewe??
I'm ready when you are!!☺️Ni wewe tu, we si ndie unachora ramani.
Kitu kitamu vile tutaachaje kupenda?🙄🙂😂😂😂 kumbe mbuzi wa Roman ni favoo ya wengi.
🤣🤣🤣🤣Atakuakanywa bangi huyu
Au kajifukiza kabisa
how do you set this upMakampuni ya simu yanaruhusu free internet kwa internal members na staff, kuna assigned IP wanazotumia.
Sijui nikufafanulie upande upi likini, trick ya proxy server ni kuonekana kama internal member hilo tunafanya kwa kutumia proxy au VPN.