Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,514
- 203,241
Kesho si ukiamka utaikuta? Au jirani akitoka saa 11 alfajiri, kurudi ni usikuNimejikaza muda...naogopa kulala bila kufaidi WiFi ya jirani vizuri! 🥱😁
Kesho si ukiamka utaikuta? Au jirani akitoka saa 11 alfajiri, kurudi ni usikuNimejikaza muda...naogopa kulala bila kufaidi WiFi ya jirani vizuri! 🥱😁
kweli we ni wa arusha😂 #no romanceSitaki mubaba 😂
Hapo ukifika Thurs umejibana sana!Njoo tumuibie jirani yangu!!!!😶🌫️😶🌫️sioni kama natoboa hii wiki na hili bundle.. nineliweka ijumaa na nilikuwa busy.. ila lina drop . andae lingine unipunguziView attachment 2630754
Napenda sana speed kubwaa aiseee.. wifi naona kama najibana.. hili usiku nalimaliza kuna kazi nahisi nikianza fanya mzigo unakata 😅😅Hapo ukifika Thurs umejibana sana!Njoo tumuibie jirani yangu!!!!😶🌫️😶🌫️
Nasemaa...tumemshusha vyeoMacho yake yametua pengine 😂😂😂
🤣🤣Kesho si ukiamka utaikuta? Au jirani akitoka saa 11 alfajiri, kurudi ni usiku
Hii ya jirani si haba! Kuna muda inajisikia kwenda mpaka 4mb/s 🙂Napenda sana speed kubwaa aiseee.. wifi naona kama najibana.. hili usiku nalimaliza kuna kazi nahisi nikianza fanya mzigo unakata 😅😅
4mbs bado ndogo sana.. nishanya kazi sehemu mzigo ulikuwa unatembea hadi 500mbs ndio walinifanya kuchukia internet ya mwendo kobe..Hii ya jirani si haba! Kuna muda inajisikia kwenda mpaka 4mb/s 🙂
Ilikua fiber internet ???😳😳😳4mbs bado ndogo sana.. nishanya kazi sehemu mzigo ulikuwa unatembea hadi 500mbs ndio walinifanya kuchukia internet ya mwendo kobe..
Dr Lizzy fanya namnaaaView attachment 2630757
😅😅😅 tafuta bedge kama hiyo kwenye avatar yangu mala moja moja uwe unapata fursa.. unashusha muvi kama kama kufumba na kufumbua jicho
Mzigo unakuja wa kutoshaaaIlikua fiber internet ???😳😳😳
Hii kwa matumizi yangu sio mbaya sana...
🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Ngoja Mjep alete kale kafurushi 💰 tuone kama zinatosha!!!
Nina mihela sio hela chief
itakuwa kheri kabisaaa na sie tupone machawa 😅😅😅Nina mihela sio hela chief
Wewe tulia utaona mzigo nitakaoshusha
no , situmiiwewe hautumii vilevi....
dah😅 unadeal vipi na mawazo...no , situmii
Sinaga wa kumdekia kabisa , deka tu mama enjoy life ndo hili .wa kuwadekea ninao jamani nisiseme uongo, na uzuri wananielewaaa.
Aseeeeeh poleee sanaaa, sasa huyo dereva hadi atake kukutoa sikio alikua haoni, lol.
Sinaga mawazo kihivyodah😅 unadeal vipi na mawazo...
nilikua naona alchohol ni ishu, saivi nakazana kuacha😅 alchohol is overrated....Sinaga mawazo kihivyo
naenda sehemu iliyotulia
nasali au naenda kutembelea watoto..