Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

4mbs bado ndogo sana.. nishanya kazi sehemu mzigo ulikuwa unatembea hadi 500mbs ndio walinifanya kuchukia internet ya mwendo kobe..

Dr Lizzy fanya namnaaaView attachment 2630757
Ilikua fiber internet ???😳😳😳
Hii kwa matumizi yangu sio mbaya sana...

🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Ngoja Mjep alete kale kafurushi 💰 tuone kama zinatosha!!!
 
Ilikua fiber internet ???😳😳😳
Hii kwa matumizi yangu sio mbaya sana...

🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Ngoja Mjep alete kale kafurushi 💰 tuone kama zinatosha!!!
ilikuwa kwenye Data center kubwaa kabisaa Tanzania...

Mjep mwenyewe sidhani kama hata ana hela 🤣🤣🤣
 
Sasa si watuuzie hiyo na sisi tufaidi. 🥴🥴

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mjep anataka tudhani hana wakati anazo!!
😅😅😅 tafuta bedge kama hiyo kwenye avatar yangu mala moja moja uwe unapata fursa.. unashusha muvi kama kama kufumba na kufumbua jicho

😅😅😅 Mjep lete pesaa mzee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa kuwadekea ninao jamani nisiseme uongo, na uzuri wananielewaaa.

Aseeeeeh poleee sanaaa, sasa huyo dereva hadi atake kukutoa sikio alikua haoni, lol.
Sinaga wa kumdekia kabisa , deka tu mama enjoy life ndo hili .

Nashukuru tu Mungu , nilikafich nilipoumia hadi nyumbani kuanza kulia . paliuma duh
thank you
 
marafiki wenyewe hovyo kama mimi😂 nataka nikiwa free nijiunge na support group ya kuacha.... naskia inasaidia
Omba Mungu akupe watu wa kukushika mkono .
inawezekana , Put your confidence in him .

Nothing is too hard for the lord , mwamini tu anaweza .

kuna watu hapa duniani ni wazuri sana . wana mioyo mema mno .
 
Omba Mungu akupe watu wa kukushika mkono .
inawezekana , Put your confidence in him .

Nothing is too hard for the lord , mwamini tu anaweza .

kuna watu hapa duniani ni wazuri sana . wana mioyo mema mno .
sasa huyo mtu atanisaidia kwa kusikiliza story yangu tu, au atakua ananifuatilia mbona kama sijaelewa
 
Back
Top Bottom