Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Mwanafamilia mtarajiwa!😀😀Mashaalah!!
shamelaaa Kama shemelaaa.
Mwanafamilia mtarajiwa!😀😀Mashaalah!!
shamelaaa Kama shemelaaa.
Ni muda wa kulala 🥳mikono inatetemeka😂 huoni huyo mkubwa tushammaliza....
Niongoze nini 😂☺️☺️
Uniongezee kidogo nijiskie!🙂
Ndiwooooh!!!! Hatutaki kujichoshaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimoko kwa afya [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapooo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni njia Mojawapo ya diet [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna ubayaa wowote ule
Kubet ni diet wewe 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningeshaingia kwenye uraibu wa kubett, yule Kaka alitaka kunipotezaa kabisaa lol. Nashukuru niliepuka mapema
🤑 😁Niongoze nini 😂
Mna kazi sanaKubet ni diet wewe 😂😂😂
Una 2000 unaanza kuigawanya. Buku uipeleke kwa Mhindi jero ule mihogo na jero jingine ununue maji halafu unaanza kutembea maana inakuwa umeshaipeleka kwa Mhindi ukitarajia hilo buku likuletee 120,00😂😂😂
Kuna rafiki angu aliingizwaa mkenge na bwana ake, eti akasema waweke 30k kwa kubett kuna hela nyingiii.Kubet ni diet wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Una 2000 unaanza kuigawanya. Buku uipeleke kwa Mhindi jero ule mihogo na jero jingine ununue maji halafu unaanza kutembea maana inakuwa umeshaipeleka kwa Mhindi ukitarajia hilo buku likuletee 120,00[emoji23][emoji23][emoji23]
the hub 😂Ni muda wa kulala 🥳View attachment 2630738
Kubett sio jambo bayaa mbna.Yaani ubaya ubaya tu upo kwenye kubeti
😬Mna kazi sana
😂😂 si ni life tuthe hub 😂
Tushamvua vyeo huyo achana naye
Jana mida ya saa 7 usiku nashuka kwenye daladala Kuna wajinga walikuwa wanavunja nazi kwenye ofisi ya betting 🤣🤣🤣Kubett sio jambo bayaa mbna.
Tena sio kubett, ni u afsa ubashiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa mbona unawahi kutoka 😂😂😂 si ni life tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mie sitaki kucheka lol.Jana mida ya saa 7 usiku nashuka kwenye daladala Kuna wajinga walikuwa wanavunja nazi kwenye ofisi ya betting [emoji1787][emoji1787][emoji1787]