Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeongea Istanbul nikakumbuka ule usiku wa mwaka 2005 nikakumbuka ule usiku baada ya zile goal 3 ndani ya dk 10 nikavua t-shirt la shule nikafunika TV ilikuwa Muhimbili Hospital aisee nilipigwa kwa kibaka wa simu na Mashabiki wa Nyumbu. My fellow Students at Azania
poleeeee sanaaaa.

Mie ile final ya citizen na chelseaa UEFA, nyie nililia km mwehu, nawachukia Chelsea hadi leo.

Kwanza tukiwa tunakutana nao natamanigi tuwabondee haswaaa, kwan leo walivyotupa heshima rohoo kwatuuu, na tumewachapaa kimokoooo.

 
poleeeee sanaaaa.

Mie ile final ya citizen na chelseaa UEFA, nyie nililia km mwehu, nawachukia Chelsea hadi leo.

Kwanza tukiwa tunakutana nao natamanigi tuwabondee haswaaa, kwan leo walivyotupa heshima rohoo kwatuuu, na tumewachapaa kimokoooo.

Kimoko kwa afya 😂😂😂
 
mikono inatetemeka😂 huoni huyo mkubwa tushammaliza....
Ni muda wa kulala 🥳
09B36AD3-85A0-47BB-99FC-72844150EB38.jpeg
 
ningeshaingia kwenye uraibu wa kubett, yule Kaka alitaka kunipotezaa kabisaa lol. Nashukuru niliepuka mapema
Kubet ni diet wewe 😂😂😂
Una 2000 unaanza kuigawanya. Buku uipeleke kwa Mhindi jero ule mihogo na jero jingine ununue maji halafu unaanza kutembea maana inakuwa umeshaipeleka kwa Mhindi ukitarajia hilo buku likuletee 120,00😂😂😂
 
Kubet ni diet wewe 😂😂😂
Una 2000 unaanza kuigawanya. Buku uipeleke kwa Mhindi jero ule mihogo na jero jingine ununue maji halafu unaanza kutembea maana inakuwa umeshaipeleka kwa Mhindi ukitarajia hilo buku likuletee 120,00😂😂😂
Mna kazi sana
 
Kubet ni diet wewe
Una 2000 unaanza kuigawanya. Buku uipeleke kwa Mhindi jero ule mihogo na jero jingine ununue maji halafu unaanza kutembea maana inakuwa umeshaipeleka kwa Mhindi ukitarajia hilo buku likuletee 120,00
Kuna rafiki angu aliingizwaa mkenge na bwana ake, eti akasema waweke 30k kwa kubett kuna hela nyingiii.

kilichofataa shemelaa alichaniwa shati ktk kugombanaaa.
 
Back
Top Bottom