Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu mnadeka , mie nikiumwa hata

mwaka jana niliumia sikio nusu ear lobe ikatike .
nilijikaza dereva kanigonga na kusepa ..

watu wanauliza hajakutoa damu najibu eeh
kumbe nimeumia .
Mungu apewe sifa
wa kuwadekea ninao jamani nisiseme uongo, na uzuri wananielewaaa.

Aseeeeeh poleee sanaaa, sasa huyo dereva hadi atake kukutoa sikio alikua haoni, lol.
 
Back
Top Bottom