Mjomba ni mama hope utakua na bebe face👌Ntafanyaje sasa na sura ni ya mjomba, miguu ya mama.😔
😅😅😅😅 nao wataliwa ingawa watakuwa mwisho mwisho.. au tutakuachia Mjep ale kuku😂😂😂 Kuku watachukia mkila sana Bata
Mimi sio harmonize DrBora!!! Maana ukimchosha kidogo tu nakunyang'anya
sio mfano, huyo Mjep atoe hela kwanza tena Yen.. aache story nyingi..Nionyeshe mfano 🙂
😍 Mna pepo yenu 😋Ntafanyaje sasa na sura ni ya mjomba, miguu ya mama.😔
Sawa....ila walabata watatutafuta watupige watuue!🤣🤣basi tuzijumlishe alafu ndio tule mabataaa ya hatari 😅😅 hadi ziishe bata wote watakuwa wameisha
mzigo unatoka kama uji yanii shwaaaaa.. unajaza ka kikombe kadogo![]()




Una balaaa ankoliii.
Onyeshaaa tupo wakuda kuonaNionyeshe mfano 🙂
haha sio Mimi!! Shida Ni akili za uteleziWewe😂😂
😂😂😂Yule dogo chefu sana yaani 😂😂😂
Kumbee, Nikapafananisha na huko nilipo pasema mie.Hapana,
Ni Mtoni kijichi,kule ushuani kabisa. Zamani palikuwa hapatoshi but now days Hakuna watu kabisa. Walevi watu wa ajabu Sana,wameshakimbia. Sasa hivi Gate way ndiyo kunajaa.
😅😅😅 tutafufuka na utukufu mwingi zaidi.. na ikishindikana bata la mbinguni litatuhusuSawa....ila walabata watatutafuta watupige watuue!🤣🤣
😆😆😆Mjomba ni mama hope utakua na bebe face👌
nautunza mzigo kwa miezi sita ,😅😅😅 ukitoka kama mafuriko ya bwawa la mwalimu NyerereUna balaaa ankoliii.
Huo haujawahi kumuacha mtu salamahaha sio Mimi!! Shida Ni akili za utelezi
Nimeangalia banner yake kwenye avatar ndio Kuna sura yake pale yaani ni kitoto Cha miaka 22 tu 😂😂😂
😀😀😀👌👌😆😆😆
Nna kabibi face flani hivi, si haba!
Watu mnadeka , mie nikiumwa hata
mwaka jana niliumia sikio nusu ear lobe ikatike .
nilijikaza dereva kanigonga na kusepa ..
watu wanauliza hajakutoa damu najibu eeh
kumbe nimeumia .
Mungu apewe sifa



wa kuwadekea ninao jamani nisiseme uongo, na uzuri wananielewaaa.