Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
ooh pole rafiki , punguza kidogonilikua naona alchohol ni ishu, saivi nakazana kuacha😅 alchohol is overrated....
tafuta rafiki unayemuamini nakumwambia mambo yako
hii inasaidia sana , try it .
ooh pole rafiki , punguza kidogonilikua naona alchohol ni ishu, saivi nakazana kuacha😅 alchohol is overrated....
marafiki wenyewe hovyo kama mimi😂 nataka nikiwa free nijiunge na support group ya kuacha.... naskia inasaidiaooh pole rafiki , punguza kidogo
tafuta rafiki unayemuamini nakumwambia mambo yako
hii inasaidia sana , try it .
Omba Mungu akupe watu wa kukushika mkono .marafiki wenyewe hovyo kama mimi😂 nataka nikiwa free nijiunge na support group ya kuacha.... naskia inasaidia
sasa huyo mtu atanisaidia kwa kusikiliza story yangu tu, au atakua ananifuatilia mbona kama sijaelewaOmba Mungu akupe watu wa kukushika mkono .
inawezekana , Put your confidence in him .
Nothing is too hard for the lord , mwamini tu anaweza .
kuna watu hapa duniani ni wazuri sana . wana mioyo mema mno .
hapana hakufuatili , find a mentor au unaweza tafuta mtu ambaye yupo rohoni sana .sasa huyo mtu atanisaidia kwa kusikiliza story yangu tu, au atakua ananifuatilia mbona kama sijaelewa
wacha nilale, ahsante tutaendelea kesho ikiwezekana....hapana hakufuatili , find a mentor au unaweza tafuta mtu ambaye yupo rohoni sana .
katika maisha twahitaji guidance either spiritual au kimaisha .sasa huyo mtu atanisaidia kwa kusikiliza story yangu tu, au atakua ananifuatilia mbona kama sijaelewa
Goodnightwacha nilale, ahsante tutaendelea kesho ikiwezekana....
Hakunaaaaaaaaaaaau Kuna kitu inashinda iyo mambo mkuu? haha
⛽️Hakunaaaaaaaaaaa
Upoje🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo kakaView attachment 2630837
Twendeni kibiti
Nini mbaya 😂😂Upoje🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza umeanza lini hizo tabia ?“matumizi mabaya ya herufi.Hakunaaaaaaaaaaa
⛽️ ndio naelekea.Mbaya huoni?😂
Acha ukorofi
Naonyesha msisitizoKwanza umeanza lini hizo tabia ?“matumizi mabaya ya herufi.
Ungeandika tu hakuna?
isingesomeka? We mwanamke wewe!! Utaweza kweli maisha ya bajeti 😂😂
DT 😂Naonyesha msisitizo
Ningeandika tu hakuna asingenielewa vizuri chenye namaanisha😂