Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wake anasoma, atakufata PM mmalizane huko huko.
Woiiiiiiih,
Yule Alisemaje anachukua picha za wanawake tyuuu itabidi nasie tuwe na mwakilishiii sijui ndo huyoo ulosema🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️ 😊😊😊😊🤠!
 
Mie humu JF nna babees kibaoo, mie ni chawoteeee, au maharage ya mbeya maji mara 1.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maharage ya mbeya ukiguswa imo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ulikataa nn kwenda Ghana nawee dear? Mbna ulikataa fursa jomoneee sweet lol
ah wapi mie hata ukija na yako hapo , nikiamua kukataa nakataa .

Ghana sio nchi nayopenda 😂
wazungu wameniharibu kichwa
 
Yule Alisemaje anachukua picha za wanawake tyuuu itabidi nasie tuwe na mwakilishiii sijui ndo huyoo ulosema[emoji2090][emoji2090] [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji1783]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu naemsema mie mbna yupo hadi hapa sahiv anasoma, lilizuka jamboo kubwaa, ilikua 2020

Huyo dada ana hulka ya kiswandu, alikua anachukua picha humu anasambaza kwa wanaume. Sasa alichukuaga ya Makiwendo wakati huo akitumia Makiseo, sasa yule jamaa akamfata maki Pm na kumuonesha picha.

Ndo zagaa liliwakaa humu, muulize Anne akuambie.

Ndo kisa cha Maki, shunnie, Atoto na wengineo watimke mazimaaa humu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu naemsema mie mbna yupo hadi hapa sahiv anasoma, lilizuka jamboo kubwaa, ilikua 2020

Huyo dada ana hulka ya kiswandu, alikua anachukua picha humu anasambaza kwa wanaume. Sasa alichukuaga ya Makiwendo wakati huo akitumia Makiseo, sasa yule jamaa akamfata maki Pm na kumuonesha picha.

Ndo zagaa liliwakaa humu, muulize Anne akuambie.

Ndo kisa cha Maki, shunnie, Atoto na wengineo watimke mazimaaa humu.

Kheee makubwa mtaje hapa basi
 
Back
Top Bottom