Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,593
- 35,852
Mie humu JF nna babees kibaoo, mie ni chawoteeee, au maharage ya mbeya maji mara 1.
![]()








maharage ya mbeya ukiguswa imoMie humu JF nna babees kibaoo, mie ni chawoteeee, au maharage ya mbeya maji mara 1.
![]()








maharage ya mbeya ukiguswa imoAlisema anachukua za wanawake eti sijui ana shida gani nasie!!
ah wapi mie hata ukija na yako hapo , nikiamua kukataa nakataa .sasa ulikataa nn kwenda Ghana nawee dear? Mbna ulikataa fursa jomoneee sweet lol
Haters are my favorite. I’ve built an empire with the bricks they’ve thrown at me. Keep on hatingMtaachana tuu.
Yule Alisemaje anachukua picha za wanawake tyuuu itabidi nasie tuwe na mwakilishiii sijui ndo huyoo ulosema![]()
!



huyu naemsema mie mbna yupo hadi hapa sahiv anasoma, lilizuka jamboo kubwaa, ilikua 2020Yaan kuguswa tyuuh tayariii kitamboooomaharage ya mbeya ukiguswa imo





huyu naemsema mie mbna yupo hadi hapa sahiv anasoma, lilizuka jamboo kubwaa, ilikua 2020
Huyo dada ana hulka ya kiswandu, alikua anachukua picha humu anasambaza kwa wanaume. Sasa alichukuaga ya Makiwendo wakati huo akitumia Makiseo, sasa yule jamaa akamfata maki Pm na kumuonesha picha.
Ndo zagaa liliwakaa humu, muulize Anne akuambie.
Ndo kisa cha Maki, shunnie, Atoto na wengineo watimke mazimaaa humu.
May your pillow be soft, your blankets be warm, and your mind be filled with thoughts of how much I love you. Good night my Love.Youre so sweet daddy
being with you , is my favourite place
Yaan kuguswa tyuuh tayariii kitamboooo
![]()
Youre so sweet daddy
being with you , is my favourite place





Atajijua mwenyewe. Mie sio shida zangu.Kheee makubwa mtaje hapa basi
Halafu, mkiachana mtaanza kuchat kiswahili...Haters are my favorite. I’ve built an empire with the bricks they’ve thrown at me. Keep on hating
Good night my dashing princeMay your pillow be soft, your blankets be warm, and your mind be filled with thoughts of how much I love you. Good night my Love.
ah wapi mie hata ukija na yako hapo , nikiamua kukataa nakataa .
Ghana sio nchi nayopenda![]()
wazungu wameniharibu kichwa



sasa huko unapotakaa si ndo mngefanya kuhamia.Wapii huko??![]()
Wewe si mgeniTangu lini![]()
Atakuwa ametekwa na lishangazi 😂😂Nimemmiss totoo jamani, sijui yuko mitaa gani
Mbona Kiswandu hahahaaa......huyu naemsema mie mbna yupo hadi hapa sahiv anasoma, lilizuka jamboo kubwaa, ilikua 2020
Huyo dada ana hulka ya kiswandu, alikua anachukua picha humu anasambaza kwa wanaume. Sasa alichukuaga ya Makiwendo wakati huo akitumia Makiseo, sasa yule jamaa akamfata maki Pm na kumuonesha picha.
Ndo zagaa liliwakaa humu, muulize Anne akuambie.
Ndo kisa cha Maki, shunnie, Atoto na wengineo watimke mazimaaa humu.