Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23]
kujishaua huku siku namuona anacheza Kaizer chief [emoji23][emoji23][emoji23] .
Usinambie ??? Wee si ungekua south sahivi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], footballers wako [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kuna nn Tena ndugu😂😂
A2C0FB34-02CA-47B6-8C4F-100C2A377B46.png
 
Lol hongera shougaaangu.... Wapii [emoji1702] zao sasaaa au unaogopa mafile [emoji23][emoji23][emoji23]???
Mafile ya nn mie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niogopee?? sijaona kiumbe wa kunitikisa JF hasa kupitia files uchwaraaa, hayo mafile nitawapa mie mwenyewee wakayaweke waziii.

Kuna kiumbee yuko humu anajifanya ana details zangu, kazi yake kwenda kwa members anaona nazoeana nao kuwauliza km wananijua kwa undani. Afu member wa kiume nilishamkanyaa haelewiii.

Namuachaa tyuuh, siku nitakapoamua nitamuwashia humu humu ndani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom