Wanaringa sana, dawa ukipata angle ya kumkazia, unakaza kweliEh wanajikuta sana , mie sina pesa ndo maana nakuuliza mara mbili shs ngapi mapema .
sio hao tu siku nimemuagiza boda aniletteee mzigo toka home hadi nilipo kapaona mbali kweli
kufika anaongeza elfu tano nilimwambia sikupi 😂😂 labda akupe mzee na sio mimi 😂😂 . nilikaza sana kwa yule boda
Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .Wanaringa sana, dawa ukipata angle ya kumkazia, unakaza kweli
nakazia. hamjui kukunja sura....Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .
Washajua pia ni Wavivu wa kubargain, wengine wapenda short cut. Wanatuponza na sie ma hard core 😂😂Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .
ni kama ukienda kariakoo wakiona tu unazunguka wanakufuata kukueleza baada ya hapo uwape ya soda
Nkamu upo kutunyoosha na hiyo miguu..View attachment 2629175
satoo day
Golden waterView attachment 2629175
satoo day
Weekend sio siku ya kaziMaboss zenu tunafanya kazi mpk wkend
Tia maji tia maji lazima mpumzishwe kidogo
sijui kwanini nacheka 😂Wanatuponza na sie ma hard core 😂😂
Kituo chenu cha mafuta hamuuzi wkend? 😂 boss wako mtaji mdogo auWeekend sio siku ya kazi
Tulia wAtu tulambe perdiemWeekend sio siku ya kazi
Wanakera vibaya mno 🙌Washajua pia ni Wavivu wa kubargain, wengine wapenda short cut. Wanatuponza na sie ma hard core 😂😂
Au stand. Pale stand kubwa uwa nachukia sana, muda mwingine mtu unatembea unaelekea dukani. Ila wapiga debe mabus washakufata.
Sawa wanatafuta ridhiki, lakini wengine unakuta hajakaa kimkao wa kusafiri ila kumzonga sasa 🙌
wewe na Lenie mna roho ndogo hamtaki kunisaidia 😂
heheee tunawezanakazia. hamjui kukunja sura....
Ah wanazonga sana aiseeWashajua pia ni Wavivu wa kubargain, wengine wapenda short cut. Wanatuponza na sie ma hard core 😂😂
Au stand. Pale stand kubwa uwa nachukia sana, muda mwingine mtu unatembea unaelekea dukani. Ila wapiga debe mabus washakufata.
Sawa wanatafuta ridhiki, lakini wengine unakuta hajakaa kimkao wa kusafiri ila kumzonga sasa 🙌
😂😂😂Kituo chenu cha mafuta hamuuzi wkend? 😂 boss wako mtaji mdogo au