Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Siyo kibaruani,Guu hilo
Watu wa ofisini kazi mwisho ijumaa, mambo ya kwenda jmos huko ni kibaruani.
Si eti eeh Jack Palladino
Ni mzigoni.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Siyo kibaruani,Guu hilo
Watu wa ofisini kazi mwisho ijumaa, mambo ya kwenda jmos huko ni kibaruani.
Si eti eeh Jack Palladino
Safiiii sana..
Be yourself no matter what. Some will adore you and some will hate everything about you. But who cares? It's your life. Make the most of it.Naona umeamua kuwa westlife 😎
Aisee
Eh wanajikuta sana , mie sina pesa ndo maana nakuuliza mara mbili shs ngapi mapema .😂 mbona wanawakomesha.
Kuna wakati huko nyuma nilikaa Sakina. Kuja Town ilikuwa buku 3 mara buku 4/5.
Ndio maana nimeizoea sana indrive.. mm sio mtoto wa fogo. mshamba_hachekwi
Kuna wakati kutoka Sakina kuja Town na mashost tunatembea au indrive. Mara toyo 😂
Daladala nilikuwa napanda asbh tu sbb ya kuogopa baridi
Nakuja, hata bila karibu...
Wanaringa sana, dawa ukipata angle ya kumkazia, unakaza kweliEh wanajikuta sana , mie sina pesa ndo maana nakuuliza mara mbili shs ngapi mapema .
sio hao tu siku nimemuagiza boda aniletteee mzigo toka home hadi nilipo kapaona mbali kweli
kufika anaongeza elfu tano nilimwambia sikupi 😂😂 labda akupe mzee na sio mimi 😂😂 . nilikaza sana kwa yule boda
Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .Wanaringa sana, dawa ukipata angle ya kumkazia, unakaza kweli
nakazia. hamjui kukunja sura....Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .
Washajua pia ni Wavivu wa kubargain, wengine wapenda short cut. Wanatuponza na sie ma hard core 😂😂Wanajua wadada wote wana hela za kucheza .
ni kama ukienda kariakoo wakiona tu unazunguka wanakufuata kukueleza baada ya hapo uwape ya soda
Nkamu upo kutunyoosha na hiyo miguu..View attachment 2629175
satoo day
Golden waterView attachment 2629175
satoo day
Weekend sio siku ya kaziMaboss zenu tunafanya kazi mpk wkend
Tia maji tia maji lazima mpumzishwe kidogo
sijui kwanini nacheka 😂Wanatuponza na sie ma hard core 😂😂
Kituo chenu cha mafuta hamuuzi wkend? 😂 boss wako mtaji mdogo auWeekend sio siku ya kazi
Tulia wAtu tulambe perdiemWeekend sio siku ya kazi