Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230520_151415.jpg
 
Wengi wa hivyo huwa ni kujipa matumaini fake tu, ila uhalisia wake unatisha 🙌
Hivi karibuni nimepima pima sana, kuna siku nimekaa na Dr mmoja alikuja kupima ofisi , huwa nina utani nae kapima .. kanipima akanitolea macho hivi, nilitetemeka 🤣🤣🤣 alafu akasema mbona unao huku kanikazia macho nilikuwa naongea huku natetemeka then akanionesha majibu hapo jasho limetoka tayari
 
Hivi karibuni nimepima pima sana, kuna siku nimekaa na Dr mmoja alikuja kupima ofisi , huwa nina utani nae kapima .. kanipima akanitolea macho hivi, nilitetemeka 🤣🤣🤣 alafu akasema mbona unao huku kanikazia macho nilikuwa naongea huku natetemeka then akanionesha majibu hapo jasho limetoka tayari
Hahahaha..........angekuua kwa presha aisee 😅

Ukikumbuka uliuza mechi hivi karibuni ndiyo balaa zaidi 🤪
 
Hahahaha..........angekuua kwa presha aisee 😅

Ukikumbuka uliuza mechi hivi karibuni ndiyo balaa zaidi 🤪
kwa second kadhaa nilianza waza wapi nimeuza mechi.. wapi.. maaana mda sana sikuwa nimecheza mechi na mbaya zaidi kina staff mmoja alikuwa kawakaa maana ndio nilikuwa incharge wa team kuna vitu ilikuwa lazima nivijue.. hiyo kitu isikie tu kwa media ila isikukute 😅😅
 
Back
Top Bottom