mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,302
- 72,049
mimi kijana wa android sijui kituIos 16.5 ushaidownload?
Nataka nijue ina nn cha maana
mimi kijana wa android sijui kituIos 16.5 ushaidownload?
Nataka nijue ina nn cha maana
Mungu anapenda style yangu ya kutembea 🤭Kwanini huna gari?
Kama base langubado hamtishi....😂 mdada anaetisha ni mwenye sauti ya base
miguu imelegea au nini 😂Nimezima.
Hatujasoma lawngoja mtakuja kuomba kazi ofisini kwangu😂
🤣🤣🤣 EehMungu anapenda style yangu ya kutembea 🤭
mnahangaika sana... wekeni review mbaya kwenye hizo apphujui sie soft voice ndo tuna makelele hadi utaomba poo
tunaita nzi
maisha sio marahisi hivo😂Jaman basi uje mapema uanzie breakfast
Inagongana mdogo wangumiguu imelegea au nini 😂
hawaelewi wale hata uweke nnmnahangaika sana... wekeni review mbaya kwenye hizo app
ukiweka review mbaya anakosa wateja baadaehawaelewi wale hata uweke nn
Nkamu upo kutunyoosha na hiyo miguu..
Ngoja nikatafute soksi![]()




Nkamu katafute plz umenichekesha

Sijui hata nilizitupia wapi 😂Nkamu katafute plz umenichekesha
![]()
Sijui hata nilizitupia wapi
Tangu nimevaa mwaka jana sijavaa tena

umenishinda tabia mimi bila socks sishushi mguu wangu chiniWe ile isikie tuhuwa nikiwasikia jamaa wanasema ukimwi kama gonjwa lingine, ikifikaga kipindi cha kupima hiyo kauli huisha hadi kidomo hukauka
Mimi najisikia joto sana kuvaa socksNkamuumenishinda tabia mimi bila socks sishushi mguu wangu chini
Acha uoga totoomaisha sio marahisi hivo😂