Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ubaya yanahitaji uchochezi.

Na kwa electric pressure cooker yatahitaji kuongeza dk.

Tabu sana
Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yako
 
Mchuzi wake sio mzito wala nn hayo ma pressure cooker
Manual pressure cooker ni sufuria tu lile kama sufuria la kawaida. Maana linawekwa gas/ mkaa

Electric cooker maybe ndio inapooza kimtindo. Harage halichangamki sana kama la sufuria
 
Manual pressure cooker ni sufuria tu lile kama sufuria la kawaida. Maana linawekwa gas/ mkaa

Electric cooker maybe ndio inapooza kimtindo. Harage halichangamki sana kama la sufuria
As long as kuna presure kwenye protein basi sio tamu,, mfano kuna utofauti mkubwa wa ladha kwenye brisket na nyama ingine yeyote,, utamu wa protein yeyote ipikwe taratibu bhana
 
Nimeamka tena. Nimemiss mihogo ๐Ÿ˜

Sure, maana kuna kanamna ukilala late unaamka umechoka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
20230520_102521.jpg

Sana! Unakua kama umetoka kufanya kazi usingizini. ๐Ÿฅด๐Ÿฅด

Mwenzio nshashiba mihogo, narudi kulala sasa!๐Ÿค“
 
Back
Top Bottom