CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,065
- 7,651
Hakuna jiko lisilowezekana kujazwa mkaa,,,Kama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?
Kuna zile manual pressurecooker ni nzito.
Hakuna jiko lisilowezekana kujazwa mkaa,,,Kama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?
Kuna zile manual pressurecooker ni nzito.
Mchuzi wake sio mzito wala nn hayo ma pressure cookerKama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?
Kuna zile manual pressurecooker ni nzito.
Manual pressure cooker ni sufuria tu lile kama sufuria la kawaida. Maana linawekwa gas/ mkaaMchuzi wake sio mzito wala nn hayo ma pressure cooker
As long as kuna presure kwenye protein basi sio tamu,, mfano kuna utofauti mkubwa wa ladha kwenye brisket na nyama ingine yeyote,, utamu wa protein yeyote ipikwe taratibu bhana[emoji39]Manual pressure cooker ni sufuria tu lile kama sufuria la kawaida. Maana linawekwa gas/ mkaa
Electric cooker maybe ndio inapooza kimtindo. Harage halichangamki sana kama la sufuria
Nimeamka tena. Nimemiss mihogo 😍
Sure, maana kuna kanamna ukilala late unaamka umechoka 😂😂
Jifurahishe sasa...
Mh! Kweli umependa Wekendu wake. 😄Hiyo ni aina ipi ya maharage? Nimependa wekendu wake
Ndio ndio 😂😂Mh! Kweli umependa Wekendu wake. 😄
Jamani kutamanishana huko😋😋Early lunch Dr Lizzy View attachment 2628538
Mihogo imetulia 😍View attachment 2628514
Sana! Unakua kama umetoka kufanya kazi usingizini. 🥴🥴
Mwenzio nshashiba mihogo, narudi kulala sasa!🤓
Dokoa tutatu 😂😂Jamani kutamanishana huko😋😋
Nishadokoa na kuvimeza kitambo sana🤣😋😋Dokoa tutatu 😂😂
Hahahaha, wanaacha kukupa majibu,wanakukimbiza wodiniKwanza wakati wanakuchukua vipimo tu kwapa lote linaloa jasho 😅
Wakati wa kusubiri majibu unaweza kuanguka kwa presha 😜🙌
Mimi je..??😂😂 me picha iliyopostiwa imenipa njaa
😂 napokea baraka kwa mikono miwili...Mimi je..??
Imagine unaamka zako unakutana na kapicha ka ubwabwa rage kanakutazama kwa maqhaba kabisa.
Nambariki sana alokuja na hii combination ya ubwabwa rage..!!View attachment 2628580
hii whisky ni mwisho😂 huogopi kufa...Life is too short guys!...tuendelee kulewa!View attachment 2628578
Kwenye caption kashasema "life is too short" 😅hii whisky ni mwisho😂 huogopi kufa...
Hii namaliza mwenyewe...hii whisky ni mwisho😂 huogopi kufa...