mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,303
- 72,051
shauri yako ๐Lifti hizi tunazipenda
ukienda sehemu haina lifti , unalalamika weh ๐๐๐๐ .
mazoezi tutayafanya kwa daladala
shauri yako ๐Lifti hizi tunazipenda
ukienda sehemu haina lifti , unalalamika weh ๐๐๐๐ .
mazoezi tutayafanya kwa daladala
hehhe sasa unaenda floor ya 22shauri yako ๐
ndo fursa hiyo ya ku-burn calories... mi nilishapanda floor 18 kwa miguuhehhe sasa unaenda floor ya 22
ukute , si utachoka .
hizi za floor tatu ndo hawanaga , mingazi mingi
Ah wapi sifanyi mchezo huondo fursa hiyo ya ku-burn calories... mi nilishapanda floor 18 kwa miguu
Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yakoUbaya yanahitaji uchochezi.
Na kwa electric pressure cooker yatahitaji kuongeza dk.
Tabu sana
Kama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yako
Hakuna jiko lisilowezekana kujazwa mkaa,,,Kama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?
Kuna zile manual pressurecooker ni nzito.
Mchuzi wake sio mzito wala nn hayo ma pressure cookerKama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?
Kuna zile manual pressurecooker ni nzito.
Manual pressure cooker ni sufuria tu lile kama sufuria la kawaida. Maana linawekwa gas/ mkaaMchuzi wake sio mzito wala nn hayo ma pressure cooker
As long as kuna presure kwenye protein basi sio tamu,, mfano kuna utofauti mkubwa wa ladha kwenye brisket na nyama ingine yeyote,, utamu wa protein yeyote ipikwe taratibu bhanaManual pressure cooker ni sufuria tu lile kama sufuria la kawaida. Maana linawekwa gas/ mkaa
Electric cooker maybe ndio inapooza kimtindo. Harage halichangamki sana kama la sufuria

Nimeamka tena. Nimemiss mihogo ๐
Sure, maana kuna kanamna ukilala late unaamka umechoka ๐๐
Mh! Kweli umependa Wekendu wake. ๐Hiyo ni aina ipi ya maharage? Nimependa wekendu wake
Ndio ndio ๐๐Mh! Kweli umependa Wekendu wake. ๐
Jamani kutamanishana huko๐๐Early lunch Dr Lizzy View attachment 2628538
Mihogo imetulia ๐View attachment 2628514
Sana! Unakua kama umetoka kufanya kazi usingizini. ๐ฅด๐ฅด
Mwenzio nshashiba mihogo, narudi kulala sasa!๐ค
Dokoa tutatu ๐๐Jamani kutamanishana huko๐๐
Nishadokoa na kuvimeza kitambo sana๐คฃ๐๐Dokoa tutatu ๐๐
Hahahaha, wanaacha kukupa majibu,wanakukimbiza wodiniKwanza wakati wanakuchukua vipimo tu kwapa lote linaloa jasho ๐
Wakati wa kusubiri majibu unaweza kuanguka kwa presha ๐๐