Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi 😂😂wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice 😂 na hawakondi
Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi 😂😂wadada wengi naona wanajitesa mara whole bread... brown rice 😂 na hawakondi
sasa mnafanya diet hampigi tizi mnategemea nini....Mie nilikuwa hivyo pia hadi nanunua mnyonyo , natural dawa lakini wapi 😂😂
Good Lord,
It is a weekend. Yachochee chap chap 🤣Good Lord,
Msinifanyie hivyo tafadhali..!!☺️
😍😍
😂😂It is a weekend. Yachochee chap chap 🤣
😂😂 me picha iliyopostiwa imenipa njaamdogo wangu usinipe hamu ya ubwabwa rage asubuhi yote hii, I beg you oooh'...!🤭
mie tizi yangu ni kwenda for a walk tu .sasa mnafanya diet hampigi tizi mnategemea nini....
tizi sio kitu cha kulazimishwa😅 ukianza kuona kupanda ngazi ni shida utapiga tu....mie tizi yangu ni kwenda for a walk tu .
mambo ya kujichosha siyawezi
Lifti hizi tunazipendatizi sio kitu cha kulazimishwa😅 ukianza kuona kupanda ngazi ni shida utapiga tu....
Mambo niyapendayo 😍
Ubaya yanahitaji uchochezi.😂😂
Huwezi amini hata sijiskii kufanya hekaheka Leo kabiiisa..!!
shauri yako 😂Lifti hizi tunazipenda
ukienda sehemu haina lifti , unalalamika weh 😂😂😂😂 .
mazoezi tutayafanya kwa daladala
hehhe sasa unaenda floor ya 22shauri yako 😂
ndo fursa hiyo ya ku-burn calories... mi nilishapanda floor 18 kwa miguuhehhe sasa unaenda floor ya 22
ukute , si utachoka .
hizi za floor tatu ndo hawanaga , mingazi mingi
Ah wapi sifanyi mchezo huondo fursa hiyo ya ku-burn calories... mi nilishapanda floor 18 kwa miguu
Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yakoUbaya yanahitaji uchochezi.
Na kwa electric pressure cooker yatahitaji kuongeza dk.
Tabu sana
Kama jiko dogo mtu atajazaje mkaa?Mbona kuna yale maji na mkaa mara 1. Tafuta sufuria zito na kubwa (aluminium ni mazuri zaidi) loweka for 15 min yaweke jaza maji jaza mkaa ukalale, yakiungua nakurudishia pesa yako