Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijala 😋😋
Nipomaliza kula zile korosho, nikaanza kama kusinzia. Nikahamia kitandani, nikasema nitaamka kuangalia jua kali.
Wapii ndio naamka sahivi 😂
Basi uje kula mihogo pakikucha vizuri 😁

Ila kuna raha flani hivi unapata ukilala mapema!🙂
 
Screenshot_20230520_055436_Muzio Player.jpg
 
ZABURI 37:25-27

²⁵ Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.

²⁶ Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.

²⁷ Jiepue na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.

HILO NDILO NENO LA MUNGU
 
Back
Top Bottom